Jumanne, 10 Aprili 2012

KANUMBA AMEZIKWA LEO KINONDONI DAR ES SALAAM, R.I.P KANUMBA.

HATIMAYE KANUMBA AZIKWA LEO MAKABURI YA KINDONDONI MAMIA WAFURIKA


 Mwili wa marehemu kanumba ukiwa unaingizwa katika uwanja wa Leaders klabu hivi leo asubui



Mamia walifurika kumuaga ndungu yetu steven Charles Kanumba
Mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba akiwa anaelekea kwenye gari kwa ajili ya kuusindikiza mwili wa mtoto wake kaburini

Hali ilikuwa tete baada ya umati uliofurika kushindwa kufuata utaratibu wa kuaga ulioandaliwa mwanzo.
Chanzo; woindeshiza blogu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni