Jumatatu, 24 Juni 2013

VIJANA WA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA AWAMU YA KWANZA WAMEHITIMU MAFUNZO JANA KAMBI YA MLALE SONGEA.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma akisalimiana na Makamanda wa JKT Mlale juzi jumamosi alipoenda kufunga mafunzo ya vijana wapatao 370 toka mashuleni.

Askari waliohitimu wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi mara baada ya kumaliza gwaride lao la maonesho. Ni miaka 19 imepita tangu mafunzo haya yalipositishwa na serikali kwa sababu ambazo haziko wazi hadi yalipoibuliwa tena mwaka huu, mafunzo haya ni muhimu katika kujenga nidhamu na moyo wa uzalendo kwa vijana wetu.
(Picha by Tetez)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni