Jumapili, 2 Juni 2013

WATU WATATU WAMEPOTEZA MAISHA HUKO PEMBA BAADA YA KUANGUKIWA NA TANKI LA ZEGE WALILOKUWA WANALIBOMOA LEO ASUBUHI.

Picture
Wananchi wakiuangalia mnara wa tangi la maji ulioanguka na kupoteza maisha ya wananchi watatu leo asubuhi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni