Jumapili, 16 Juni 2013

ELIMU YA NAMNA YA KUEPUKA RUSHWA KWA SEKTA YA AFYA WILAYANI NACHINGWEA.

Wadau wa sekta ya Afya toka maeneo mbalimbali ya wilaya ya Nachingwea wakiwa katika majadiliano ya njia za kujiepusha na adui rushwa hivi karibuni, mafunzo haya yalitolewa katika ukumbi wa TRC mjini Nachingwea na maafisa wa TAKUKURU(hawapo pichani).

Wanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo cha Uuguzi Nachingwea wakisikiliza maelekezo ya Maafisa wa TAKUKURU  juu ya mapambano dhidi ya rushwa na uundaji wa Klabu za Wapinga Rushwa Vyuoni na mashuleni.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni