Jumapili, 9 Juni 2013

ELIMU YA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI NACHINGWEA.

Afisa wa TAKUKURU Bw. Hassan Omari wa Nachingwea akipokea risala toka kwa kiongozi wa Klabu ya Wapinga wa Rushwa shule ya sekondari Marambo wakati wa ziara ya uhamasishaji wa mapambano dhidi ya rushwa hivi karibuni.

Baadhi ya wanafunzi shule ya sekondari Marambo huko Nachingwea wakisikiliza mawaidha toka kwa maafisa wa TAKUKURU(hawapo pichani).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni