Jumapili, 9 Juni 2013

WANAUSHIRIKA WA RWANGWA, NACHINGWEA NA LIWALE WADHAMIRIA KUUNDA CHAMA KIKUU KIPYA CHA USHIRIKA CHA RUNALI BAADA YA AZIMIO LA KUJITOA ILULU.

Naibu Waziri TAMISEMI Mh. Majaliwa(Mb) akihutubu katika mkutano wa viongozi wa vyama vya  ushirika vya msingi toka Liwale, Rwangwa na Nachingwea ulioazimia kwa pamoja kujitoa toka chama kikuu cha Ilulu na kuunda RUNALI. Mkutano huu ulifanyika katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu Nachingwea hapo juzi.

Wajumbe tisa toka vyama tofauti waliopewa jukumu la kusimamia mchakato wa kuunda  chama kikuu kipya cha RUNALI kinachotarajiwa kuwa kimesajiliwa mapema kabla ya msimu ujao wa ununuzi wa korosho, mkutano huu wa mageuzi haya ulifanyika jana juzi tarehe 07/06/2013.(Picha kwa hisani ya Lindi Yetu Blog)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni