Jumatatu, 17 Juni 2013

UCHAGUZI MDOGO LINDI. CCM YASHINDA KITI CHA UDIWANI KATA YA STESHENI WILAYANI NACHINGWEA.

Mwenyekiti wa CCM Taifa wa sasa Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Marehemu Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere enzi hizokatika moja ya mikutano ya Chama
.
Chama cha Mapinduzi jana kimetangazwa kuwa mshindi wa kiti cha Udiwani wa Kata ya Stesheni  wilayani Nachingwea mkoani Lindi  katika Uchaguzi uliofanyika jana jumapili baada ya mgombea wake kupata kura 806, akifuatiwa na mgombea wa CUF 480, CHADEMA 327  na Chama kipya cha ADC kiliambulia kura 48. CCM imeweza kutetea kiti hiki baada ya aliyekuwa Diwani Bi. Mpoyo kufariki ghafla mwaka jana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni