Jumamosi, 22 Juni 2013

MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE PAMOJA NA FAMILIA YAKE WAHUDHURIA MAZISHI YA SERGENT DETECTIVE CHRISTOPHER KYENDESYA, HAPO JANA HUKO MBEYA

Marehemu Detective Sergent Christopher pichani enzi za uhai wake

WAKAZI WA MKOA WA RUVUMA HUSUSAN SONGEA MJINI WATAMKUMBUKA ASKARI HUYU MIAKA YA 90 KWA UJASILI WAKE WA KUPAMBANA NA MAJAMBAZI WAKIWEMO ASKARI POLISI WENZIE NA KUWAWEKA NDANI YA MKONDO WA SHERIA NA KUFIKIA KUPEWA TUZO YEYE NA WENZAKE NA RPC WA WAKATI HUO.


Mke wa Rais Mama Salma Kikwete Wa katikati akiwa na Mke wa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kushoto pamoja na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa Diwani Athumani wakiingia katika nyumba ya Mama wa Marehemu kwa ajili ya kuhani Msiba

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji na kumpa pole Mama wa Marehemu Mbunge wa viti Maalum Mama Kyendesya
 Mke wa Rais Mama Salma kikwete akiwapa pole ndugu jamaa na Marafiki
 Kaka wa Muheshimiwa Rais Mzee Miraji Kikwete akimpa pole Mama wa Mareheremu Sargent Christopher Kyendesya
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa salamu zake za


 Kamanda wa Polisi Mkoa Diwani akitoa Salamu za Pole kwa ndugu jamaa na Marafiki kwa Niaba ya Jeshi la Polisi.

 Msemaji Kutoka Jeshi la Polisi na aliyeongoza msafara wa kuuleta mwili wa Marehemu, akisoma Historia fupi ya Marehemu.
 Kaka wa Marehemu Mzee Miraji Kikwete wa Pili kushoto akiwa katika ibada ya Mazishi
Kutoka kushoto ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, Mama wa Marehemu Muhemishimiwa Mbunge wa viti maalum mstaafu Mama Kyendesya, Mke wa Marehemu Christopher Kyendesya pamoja na ndugu
 Kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Muheshimiwa Abas Kandoro, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Diwani Athumani pamoja na Mkuu wa usalama Mkoa wa Mbeya
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa Heshima za Mwisho katika Mwili wa Marehemu Sergent Detective Christopher Kyendesya
 Kaka wa Muheshimiwa Rais Jakaya Kikwete , Miraji Kikwete akitoa salamu za mwisho katika  mwili wa Marehemu Sergent Detective Christopher Kyendesya
 Mama wa Marehemu Muheshimiwa Mbunge Mstaafu viti maalum Mama Florence Kyendesya akitoa salamu za mwisho katika  wili wa Marehemu Sergent Detective Christopher Kyendesya
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Diwani Athumani akitoa salamu za mwisho katika mwili wa Marehemu Sergent Detective Christopher Kyendesya
Wananchi mbalimbali wakiwa katika Mazishi ya Marehemu Sergent Detective Christopher Kyendesya.
 Kazi ya Mazishi ikiwa inaanza
 Salamu za Rambirambi zikitolewa kwa niaba ya Mbunge wa viti Maalum Dr. Mary Mwanjelwa
 Aliyekuwa Mratibu wa Shughuli ya Mazishi Bwana Mwakipesile akizungumza jambo
 Askari wa Jeshi la Polisi kikosi cha FFU wakifyatua risasi juu ikiwa ni Ishara ya Heshima katika Mazishi hayo
 Mchungaji wa Kanisa la Moraviani akitoa Mbaraka wakati wa kumaliza ibada ya Mazishi

 Mke wa Marehemu Sergent Christopher Kyendesya akiweka Shada la Maua
 Mama wa Marehemu Sergent Christopher Kyendesya , Muheshimiwa Mbunge Mstaafu Florence Kyendesya akiweka Shada la maua katika Kaburi
 Mtoto wa Maremu jina Erick akiweka shada la mauwa katika kaburi la Baba yake pia kwa niaba ya Pacha wake ambaye alichelewa Mazishi
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete Akiwa na Kaka wa Muheshimiwa wa Rais Jakaya Kikwete wakiweka Shada la Mauwa katika kaburi la Marehemu Sergent Detective  Christopher Kyendesya
 Muheshimiwa Mkuu wa Mkoa Abas Kandoro pamoja na Mkewe wakiweka Shada la Maua katika kaburi la Marehemu

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Diwani Athumani  akiweka shada la maua katika kaburi la maremu kwa niaba ya Jeshi la Polisi

Afisa usalama wa Mkoa akiweka shada la maua katika Kaburi la Marehemu
 Ndugu Shitambala wa Pili kutoka Kushoto akiwa katika msiba
 Hawa ni vijana kutoka Sae ambao ndio waliochimba kaburi la Marehemu . 
CREDITS
Picha zote na Mbeya yetu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni