Ijumaa, 3 Februari 2012

SIKU YA SHERIA TANZANIA YAADHIMISHWA MAHAKAMA YA WILAYA NACHINGWEA LEO KWA MAHAKAMA YA WAZI.

Mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nachingwea akimsomea mashtaka mtuhumiwa ajulikanae ka ma Tuju wa Matangini Nachingwea ya kosa la kupatikana napombe haramu ya Gongo nusu lita leo asubuhi katika siku ya kuadhimisha mwanzo wa kalenda ya Mahakama Tanzania.




Tuju akiwa kizimbani. Ujunbe a siku ya sheria leo ni 'adhabu mbadala'

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni