Jumamosi, 11 Februari 2012

KAMANDA WA TAKUKURU MKOA WA LINDI ATEMBELEA SEKONDARI KUHAMASISHA VILABU VYA WAPINGA RUSHWA.

Kamanda Steven Chami akiongea na wanafunzi wa shule ya sekondari Naipanga Nachingwea juzi.
Wanafunzi wakisikiliza mawaidha ya kamanda
Viongozi wa wanafunzi wakitoa neno la shukurani.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni