Jumatatu, 15 Oktoba 2012

MTUHUMIWA WA USAFIRISHAJI MADAWA YA KULEVYA AACHIWA HURU, NI ALHAJI MINTANGA.


Alhaji Shaaban Mintanga akiwa chini ya ulinzi mkali wakati wa kesi yake.
Rais wa zamani wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Alhaji Shaaban Mintanga, leo ameachiwa huru baada ya kushinda kesi yake ya kukamtwa na madawa ya kulevya. Mintanga ameachiwa huru baada ya kusota rumande tangu April 4 mwaka 2008.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni