Jumatano, 10 Oktoba 2012

AJALI ZINATUMALIZA, MWENDESHA BODABODA NA ABIRIA WAKE WAFA KWA AJALI MAENEO YA MAKONGO.


Jamaa akijaribu kutambua mwili wa marehemu juzi asubuhi waliofariki baada ya pikipiki yao kugongwa juzi asubuhi maeneo ya Makongo shuleni, Dar es salaam. Eneo hili limekuwa zikitokea ajali za mara kwa mara hasa pikipiki, tuchukue tahadhari.(Picha na Sufiani Mafoto)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni