Jumapili, 7 Oktoba 2012

FIESTA 2012, RICK ROSS AMEWASILI TAYARI NA SHOO INAENDELEA HAPO LEADERS.

 Meneja wa Bia ya Serengeti ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012,Allan Chonjo akisalimiana na Mwanamuziki wa Kimataifa kutoka nchini Marekani Rick Ross mara baada ya kuwasili usiku huu ndani ya uwanija wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,akiwa na baadhi ya wanamuziki wenzake pichani nyuma,kati ni Oparesheni Meneja wa Prime Time Promotions Ltd,Balozi Kindamba ambao ndio waratibu wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012 linalotarajiwa kufanyika hapo kesho.Picha nyingine baadae kidoogo wadau.

Mashabiki waliohudhuria

Msanii Lina akitumbuiza katika utangulizi.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni