Jumatano, 11 Julai 2012

HUKUMU KESI YA MAHALU KUTOLEWA LEO KISUTU.

Mkapa
Profesa Mahalu (kushoto) akiwa na Wakili wake  Bw. Marandu mapema mwezi Mei 2012 wakati Mh. Rais msataafu Benjamin William Mkapa alipotoa ushahidi mahakamani akimtetea Mtuhumiwa na mwenzake. Leo hii asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu itatolewa hukumu ya shauri hili lililochukua takribani miaka mitatu kukamilika.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni