Ijumaa, 15 Juni 2012

TAKUKURU LINDI YAFANYA MKUTANO NA MAHAKIMU WAKAZI WA WILAYA NA MKOANI LINDI.


Hakimu Mkuu Mkazi Mfawidhi wa Mkoa wa Lindi Bw. Ndunguru(katikati) akiwa pamoja na Mratibu wa NACCSAP  wa Lindi Bw. Kuhanda (kushoto) na Bi. Lilian, Hakimu Mkazi Lindi wakisikiliza hoja mbalimbali za mkutano huo ulioitishwa na TAKUKURU Lindi ili kubadilishana uzoefu juu Uendeshaji kesi Mahakamani. Mkutano ulifanyika majuma mawili yaliyopita Ukumbi wa Takukuru Lindi


Wajumbe wa Mkutano huo wakimsikiliza Mh. Ndunguru akitoa mada yake juu ya Wajibu wa Mahakimu na Waendesha Mashtaka katika kutoa Haki.


Mafunzo yakiendelea.


Mahakimu Wakazi na Waendesha Mashtaka wakisikiliza

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni