Jumanne, 19 Juni 2012

KISHOKA WA TANESCO ANASWA KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM

 Mtuhumiwa wa kuunganisha umeme kinyemela (KISHOKA)kwenye majengo ya kariakoo jijini Dar es salaa leo ambaye jina lake halikufahamika akishikiliwa na askari wa  jeshi la polisi baada ya Shirika la umeme Tanesco kuendesha operesheni ya kukamata wanaoiba umeme kwenye mkoa wa Dar es salaam manispaa ya  Ilala
Fundi kutokaShirika la kuzalisha umeme Tanesco Bi.Fadha Wiliamu  akiangalia mita zilizounganishwa kwa njia ya wizi katika majengo hayo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni