Jumanne, 11 Septemba 2012

SIMBA YANYAKUA NGAO YA JAMII KWA KUIFUNGA AZAM GOLI 3-2.

SIMBA YAIGONGA AZAM 3-2, YATWAA NGAO YA JAMII

 

Mshambuliaji wa Simba SC, Mghana Daniel Akuffo akijiandaa kupiga penati wakati wa mpambano wao wa Ngao ya Jamii leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni