Jumatano, 30 Machi 2011

UTALII TANZANIA

 Utalii wa maeneo tofauti katika Tanzania unawezekana ukiacha ule wa kuangalia wanyama, hii ni fukwe iliyopo jijini Dar es salaam inayoitwa Coco beach,  wageni na wenyeji hutembelea maeneo haya bila gharama yoyote.(picha zote kwa hisani ya miguelcostales.blogspot.com)
 Mandhari ya jiji la Dar ukiwa baharini upande wa mashariki.
 Fukwe ya Bagamoyo
 Mji mkongwe Zanzibar
 South beach Kigamboni
View point ukiwa katika hifadhi ya Manyara. (Picha kwa hisani ya tembeatz.blogspot.com)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni