Jumatano, 30 Machi 2011

Hapa Kwetu: SUPER MUHOGO: Unga Safi wa Muhogo

SUPER MUHOGO: Unga Safi wa Muhogo: "Katika pita pita zangu, nimeona tangazo kwenye blogu ya Profesa Mbelle la wajasiriamali wa Chanika, Dar es Salaam, wanaouza unga wa muhogo. Uzuri ni kwamba unga huu wa muhogo mimi nimeutumia na bado nina kilo kama nne katika stock yangu,ni mzuri ukila pia wametusaidia kupata vyakula vyetu vya asili ambavyo ni nadra kuvipata hapa mjini,kiafya unga wa muhogo una virutubisho vyote. Hongera Bw. Joram na kundi lake Mungu awazidishie muendelee kutoa lishe bora kwa watu wote.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni