Jumanne, 29 Machi 2011

NANI MFALME WA NYIKA?

Naomba niulize swali nipewe jibu maana kuuliza si ujinga, haya yanayoonekana mbele ya mnyama Tembo ni meno yake au pembe zake?
Hivi kati ya Simba na Tembo yupi ndiye mfalme wa huko mwituni? Please naomba majibu toka kwenu wadau, ni katika kuelimishana tu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni