Jumatatu, 22 Julai 2013

PICHA YA LEO; HELIKOPTA IKIWA IMEBEBA RADA HUKO NACHINGWEA LEO MCHANA, WANASEMA ETI INAFANYA UTAFITI WA MADINI.

Leo hapa Nachingwea mjini nilibahatika kuona Helikopta ikiruka ingawa kwa mbali ikiwa imebeba rada chini yake na mwendo wa wastani, wenyeji waliniambia inafanya utafiti wa madini ili kujua yapo mahali gani, jamani Nchi yetu yaelekea imebahatika kuwa na mali nyingi lakini wageni ndio wanaonekana wana elimu hiyo na wanafaidika wao, Viongozi tuwe makini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni