Jumapili, 28 Julai 2013

KONGAMANO LA WANATAALUMA LINAENDELEA HIVI SASA UKUMBI WA NKRUMAH CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM; WATOA MADA WAJIELEKEZA KATIKA MUSTAKABALI WA AMANI NA USALAMA WA TAIFA LETU KWA MIAKA HAMSINI IJAYO.

Profesa Bernadeta Killian Mhadhiri wa Sayansi ya Siasa na Utawala Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akitoa mada yake leo katika Ukumbi wa Nkrumah kuhusu Mustakabali wa Amani na Usalama wa Taifa letu kwa miaka hamsini ijayo. Profesa amesema njia kuu ya kuelekea kwenye Amani ni Amani yenyewe. Hongera kwa Profesa kwa kutoa mada nzuri isiyo na upendeleo kwa hadhira yake.
 
Baadhi ya washiriki wakisikiliza mada kwa makini toka kwa Wachokoza Mada.

Profesa Killian akiendelea kuchokoza mada yake iliyosema nini dhima ya siasa katika kujenga au kuharibu amani ya Tanzania(Picha kwa hisani ya ITV)
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni