Alhamisi, 22 Novemba 2012

WALIOMUUA SWETU FUNDIKIRA WAHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA.

.....ndugu wakilia

...ilikuwa ni saa ya majonzi na huzuni
Watuhumiwa wakiwa mahakamani kabla ya hukumu kusomwa. kutoka kulia ni Rhoda Robert, Ally Gube na Mohamed Ally.
safari ya huzuni ya Rhoda Robert kuanza maisha mapya gerezani mara baada ya hukumu...
Leo ilikuwa ndiyo siku ya hukumu dhidi ya watuhumiwa watatu wa mauaji ya marehemu Swetu Fundikira aliyeuawa kwa kupigwa miaka miwili iliyopita. Mara baada ya watuhumiwa hao kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa, ndugu na jamaa wa marehemu waliangua kilio na wengine hadi kuzimia kama walivyoshuhudiwa na paparazi wetu aliyeweka kambi mahakamani hapo.

PICHA: ISSA MNALLY/GPL

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni