Jumatano, 14 Novemba 2012

KINANA AWA KATIBU WA SEKRETARIETI YA CCM KUANZIA LEO.

CCM safu mpya: Kinana, Nchemba, Vuai, Zakhia Meghji, Asha-Rose Migiro

Katibu Mkuu mpya wa CCM, Abdulrahaman Kinana.
  • Kwa mujibu wa taarifa kutoka Dodoma, Sekretari ya Uongozi wa CCM Taifa ni kama ifuatavyo: -
  •  Katibu Mkuu ni Abdulrahman Kinana.
  • Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara ni Mwigulu Nchemba (Mb).
  • Naibu Katibu Mkuu Zanzibar ni Vuai Alli Vuai.
  • Katibu wa Itikadi na Uenezi ni Nape Nnauye.
  • Uchumi na Fedha ni bi. Zakhia H. Meghji.
  •  Katibu wa Oganaizesheni ni Mohammed Seif Khatib.
  •  Uhusiano wa Kimataifa ni Dkt. Asha-Rose Migiro.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni