Ijumaa, 3 Agosti 2012

KIKWETE ATIMIZA HAHDI YA KUWAFIDIA NG'OMBE WANANCHI WA MONDULI WALIOPOTEZA MIFUGO YAO KWA UKAME

MH. KIKWETE AMEGAWA NG'OMBE KWA WANANCHI MONDULI LEO, ATAFANYA HIVYO KILA MWEZI KWA WILAYA TATU.


Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa alipowasili katika kijiji cha Makuyuni,Wilayani Monduli kwa ajili ya kuzindua mpango wa kugawa ng'ombe 1500 kila mwezi kwa wananchi wa wilaya tatu za Mkoa wa Arusha kama kifuta jasho cha kupoteza kiasi cha mifugo 800,000 kutokana na ukame na athari zake mwaka 2008/2009.…

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni