Katiba ya JMT inaruhusu uhuru wa kutoa mawazo lakini uhuru huu usiingilie uhuru wa mwingine.
![]() |
| Huyu ndiye Kiongozi wa Kundi linaloitwa UAMSHO la Zanzibar ambalo ni la shughuli za mihadhara ya Kidini hasa ya Kiislam. Hivi karibuni kumekuwa na matukio ya vurugu huko Zanzibar na habari zilizoenea ni kuwa Kundi hili linahusika na vurugu hizo, je ni kweli malengo ya kundi hili ni vurugu au kuna propaganda ndani yake ya kulichafua hadhi yake ili lionekane halifai!!!? Nawaasa Viongozi wa Serikali na Vyombo vya Dola kutotoa majibu ya harakaharaka juu ya vurugu za Zanzibar badala yake ifanye uchunguzi wa kina juu ya matatizo yaliyopo ili yatatuliwe. |





