James Juma Hussein(45) Askari Trafiki feki aliyekamatwa juzi, kumbe nguo zake hazikuwa sawa ndio maana Ofisa wa Polisi alimstukia kuwa sio wa kwao. Kofia haiko sawa na vifungo vya shati si vya chuma vyenye nembo polisi.

Usaili ukiendelea pamoja na kupigwa picha.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni