KARIBU KATIKA BLOGU HII YA KUELIMISHA, KUBURUDISHA NA KUONYA KUPITIA MADA MBALIMBALI NA HATA PICHA. ONGEZA MAHUSIANO KWA KUJUMUIKA NA WENZIO HAPA.UNAWEZA TUMA PICHA NA MAELEZO KWA ANUANI HII;mkuu74@gmail.com
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo HIFADHI. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo HIFADHI. Onyesha machapisho yote
Jumanne, 10 Mei 2011
Jumanne, 5 Aprili 2011
KAMUSI YA WAWINDAJI NA MADEREVA PORINI
Neno Rejesta kwa wale watumiaji wazuri wa lugha ya kiswahili lina maana ya matumizi ya lugha au maneno kulingana na muktadha yaani mahali gani, wakati gani au kundi gani la watu mfano askari au wanafunzi na kadhalika, kwa wale ndugu zetu wawindaji au wasindikizaji wa watalii mbugani hutumia majina kadhaa ya wanyama wanapouliza kwa wenzao wanapokutana ambapo ni vigumu kwa usiye kundi lao kuelewa haraka, mfano SIMBA huitwa SHARUBU, TEMBO huitwa MASIKIO, MAMBA huitwa MKASI, CHUI huitwa WAJUU na TWIGA huitwa MREFU na mengine mengi usiyoyajua.
Jumatano, 30 Machi 2011
UTALII TANZANIA
Utalii wa maeneo tofauti katika Tanzania unawezekana ukiacha ule wa kuangalia wanyama, hii ni fukwe iliyopo jijini Dar es salaam inayoitwa Coco beach, wageni na wenyeji hutembelea maeneo haya bila gharama yoyote.(picha zote kwa hisani ya miguelcostales.blogspot.com)
Mandhari ya jiji la Dar ukiwa baharini upande wa mashariki.
Fukwe ya Bagamoyo
Mji mkongwe Zanzibar
South beach Kigamboni
View point ukiwa katika hifadhi ya Manyara. (Picha kwa hisani ya tembeatz.blogspot.com)
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)