Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo CHRISTMAS. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo CHRISTMAS. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 25 Desemba 2011

MTAMBO WA GONGO NA SNAKE MAN KUPANDA ULINGONI LEO

 
Mratibu wa pambano la Ngumi za kulipwa, Shabani Adios 'Mwayamwaya' akiwa katikati ya mabondia,Maneno Osward 'Mtambo wa Gongo' kushoto na Rashidi Matumla 'Snake Man', baada ya kupima uzito leo, kwa ajili ya pambano lao, litakalofanyika kwenye Ukumbi wa Helnken Mtoni Kijichi, Dar es Salaam siku ya Xmasi. (Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Mabondia,Maneno Osward 'Mtambo wa Gongo' kushoto na Rashidi Matumla 'Snake Man', wakipima uzito leo, kwa ajili ya pambano lao, litakalofanyika kwenye Ukumbi wa Helnken Mtoni KIjichi, Dar es Salaam siku ya Xmas

MAY THE WONDEFUL BLESSING OF THIS HOLY CHRISTMAS DAY BE WITH YOU.

Krismas imeingia , Messiah kazaliwa tusherehekee kwa amani na upendo utawale kwa watu wote


Mpitanjia akipatana bei na muuzaji wa mapambo kando ya barabara ya Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es Salaam, yakiwa ni maandalizi ya Sikukuu ya Krismasi. (Picha na Mohamed Mambo)