Ijumaa, 11 Desemba 2015

RAIS MAGUFULI AMETANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI LEO....

Picha za Rais Magufuli akielekea kutangaza baraza la mawaziri leo

mg5
mg5Kuelekea ukumbi wa mikutano Ikulu.
Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli ametangaza baraza la mawaziri December 10 2015 ambapo hata hivyo hajamaliza kutaja mawaziri wengine akisema anaangalia ni nani wa kumuweka kwenye hizo wizara zilizobaki
mg3
mg7
mg7Picha ya pamoja na Waandishi wa habari
mg6
Rais Magufuli, Katibu mkuu kiongozi Sefue, Waziri mkuu Majaliwa na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu
Picha zote ni kutoka Ikulu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni