Ijumaa, 20 Novemba 2015

WAZANZIBAR WAISHIO UINGEREZA WAANDAMANA KUPINGA KUSITISHWA KWA UCHAGUZI ZANZIBAR...

Maandamano ya wazanzibari London/UK

maandamano5
Baadhi ya picha zikionesha Wazanzibar waishio sehemu mbalimbali za Uingereza wakikusanyika mtaa wa Downing ambako ndiko ziliko ofisi za Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameroon kupeleka barua ya malalamiko juu ya namna wasivyoridhika na Uchaguzi ulivyoghairishwa huko nyumbani Zanzibar.. Maandamano hayo yalifanyika jana huku kukiwa na hali ya manyunyu ya hapa na pale lakini bila kujali watu walimiminika mitaani...

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni