Ijumaa, 23 Oktoba 2015

MAHAKAMA KUU LEO IMEAMUA KUKAA MITA 200 AU ZAIDI BAADA YA KUPIGA KURA HAIRUHUSIWI...


Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa uamuzi wa mvutano wa kukaa mita 200 kutoka katika kituo cha kupigia kura na kusema kuwa haruhusiwi mtu yeyote kukaa hata kwenye umbali zaidi ya mita hizo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni