Jumapili, 13 Aprili 2014

DARAJA LA MAPINGA BAGAMOYO LIMEBOMOKA KWA MVUA KUBWA INAYOENDELEA KUNYESHA UKANDA WA PWANI.

Wananchi wakiwa hawahamini macho yao wakiangalia sehemu ya daraja la Mapinga Bagamoyo lililokatika kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha ukanda huo, daraja hilo ndilo kiungo muhimu kwa usafiri wa Dar es salaam kwenda Bagamoyo, kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, wananchi wameshauriwa kutumia barabara ya Morogoro kwa sasa hadi ukarabati utakapofanyika.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni