Alhamisi, 6 Januari 2011

MSIMU UMEISHA



Msimu wa mavuno na mauzo ya korosho umepita tayari,hata hivyo msimu haukuwa mzuri sana kwa eneo la kaskazini mwa Nachingwea ukilinganisha na kusini magharibi(Kilimarondo) ambako wao wamevuna sana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni