Jumapili, 16 Januari 2011

AJIRA KWA WALIMU

Serikali yatangaza ajira 9226 kwa walimu wa shule za sekondari na vyuo, Waziri wa Elimu Dr. Shukuru Kawambwa amesema walimu hao wanatakiwa kuripoti kwenye Halmashauri mbalimbali walizopangiwa ifikapo taerehe 24/01/2011. Malipo na stahili zao zote zitalipwa na Halmashauri husika. Orodha yao yapatikana kwenye tovuti zifuatavyo; (www.moe.go.tz) na (http://www.pmoralg.go.tz/)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni