Baadhi ya waathirika wa mafuriko wanaoishi nje ya Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa wakiwa na watoto wao kama walivyokutwa kando ya barabara ya Uhuru Dar es Salaam. Kushoto ni Mwanaharusi Abubakari, Zarika Juma, Fatuma Hemedi na Mwajabu Haruna. Kwa mujibu wa Katibu wa Kamati ya Waathirika waliokuwa wapangaji wa maeneo yaliyokumbwa na mafuriko, Eziaka Wema, eneo hilo lina jumla ya waathirika 130 ambao hawana mahali pa kuishi. (Picha na Mohamed Mambo)
KARIBU KATIKA BLOGU HII YA KUELIMISHA, KUBURUDISHA NA KUONYA KUPITIA MADA MBALIMBALI NA HATA PICHA. ONGEZA MAHUSIANO KWA KUJUMUIKA NA WENZIO HAPA.UNAWEZA TUMA PICHA NA MAELEZO KWA ANUANI HII;mkuu74@gmail.com
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo MAFURIKO. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo MAFURIKO. Onyesha machapisho yote
Alhamisi, 12 Januari 2012
Jumamosi, 14 Mei 2011
Jumapili, 24 Aprili 2011
MAFURIKO DAR

Magari haya yalinaswa na tope wakati yakijaribu kupita kwenye bonde la mto Tegeta kukiwa na maji kidogo yanayotiririka,ghafla maji kutoka maeneo ya juu yalianza kujaza mto ingawa Tegeta hakukuwa na mvua hali iliyosababisha madereva wayaache magari yao kusubiri maji yapungue,baadae usiku wa jana yaliondolewa.
Ngombe pia huvuka mto huo.
Alhamisi, 14 Aprili 2011
MAFURIKO DAR
Mvua zinazoendelea kunyesha sehemu za miinuko hapa Dar es salaam zinasababisha mito iliyopo jirani na midomo ya bahari kufurika, pichani ni mto Tegeta ukiwa umefurika ingawa katika hali ya kawaida huwa hautiririshi maji.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)