Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo AROBAINI MAULID. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo AROBAINI MAULID. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 24 Aprili 2011

MAULID YA OMARI MBELA YAFANA

Dufu ya nguvu toka Kibaoni Tegeta kwa Maalim Kione.

Dua ya Nadhir na Milango ya MAULID ikisomwa.

Dada zake Omari

Mama yake Omar

Omari akitolewa nje

Misosi.

Ijumaa, 22 Aprili 2011

MAULID YA MTOTO OMARI MBELA, JUMAMOSI TAR 23/04/11,SAA 7 MCHANA, WADAU MNAKARIBISHWA.

 Umri siku kumi duniani
 Umri siku ishirini





       
Bibi na wajukuu wake

Siku 38 duniani, karibu sana,shida na raha ndio maisha.
Wanafamilia ya Mnonjela wa Tegeta Salasala wanawakaribisha wote, ndugu , jamaa na marafiki kwenye shughuli ya Maulid ya kuzaliwa mtoto Omari Mbela anayetarajia kutimiza umri wa siku arobaini hapo kesho jumamosi nyumbani Tegeta mchana saa saba.
LLAA ILLAH ILALLAH, INSHAALLAH MUNGU TUKUZIE KIUMBE CHETU,AMIN.