Jumapili, 6 Septemba 2015

WAKULIMA WA MIKOA YA LINDI, MTWARA NA PWANI CHANGAMKIA FURSA YA KUKODI MATREKTA KWA BEI NAFUU MSIMU HUU WA KILIMO..




TUNAKODISHA TREKTA!!
"Kwa wale wakulima wenye ekari za kutosha maeneo kuanzia Mkuranga, Mwarusembe, Kimanzichana ya Mkiu, Mkamba nk. hadi maeneo ya Ikwiriri na Rufiji.... Lakini pia kama kuna maeneo ambayo tunaweza kukodishwa kwa ekari 100 na kuendelea sisi tutajipanga nakukufikia…. Haijalishi ni udongo wa aina gani, trekta yetu ina nguvu za kupambana na hali zote za udongo!!
 
Mkombozi wa ukweli kapatikana sasa. Ile hofu ya kulima kwa muda muafaka imepata jawabu!!
Tumeleta trekta linalofaa kupambana kwa kazi maeneo hayo, trekta hilo ni FORD 7500.
Bei zetu ni nzuri zipo baina ya Tshs. 40,000/= hadi 60,000/= kulingana na umbali.
Kwa mawasiliano:
1. 0787519910 na 0767519910... Tutakujibu kwa simu na sms!!
2. Kwa 0787519910 tutakujibu kwa whatsapp
4. Tembelea pia blog yetu moddyrajabu.blogspot.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni