Ijumaa, 7 Desemba 2012

DAKTARI WA ‘MOI’ MUHIMBILI, NESI WAKE MBARONI KWA RUSHWA, WAPANDISHWA KIZIMBANI KISUTU JANA.


Daktari Matiko (katikati) akiongozwa na Afisa wa Takukuru (nyuma yake).  Aliyetangulia ni wakili anayemtetea, Paschal Kamala
 
…Akielekea kizimbani kwa upole.
 
Nesi Kimwomwe (kulia) naye akielekea kizimbani kusomewa mashitaka yake.


Uchungu wa safari ya kuelekea kizimbani.
                    Ndugu na jamaa wakifuata nyuma kwa ajili ya kusikiliza kesi za wapendwa wao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni