KARIBU KATIKA BLOGU HII YA KUELIMISHA, KUBURUDISHA NA KUONYA KUPITIA MADA MBALIMBALI NA HATA PICHA. ONGEZA MAHUSIANO KWA KUJUMUIKA NA WENZIO HAPA.UNAWEZA TUMA PICHA NA MAELEZO KWA ANUANI HII;mkuu74@gmail.com
Jumatatu, 12 Oktoba 2015
Jumapili, 4 Oktoba 2015
MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA AMEFARIKI ALFAJIRI YA LEO BAADA YA KUPATA AJALI YA GARI.
Marehemu Mtikila alikuwa akitokea mkoani Morogoro kuelekea Dar es salaam kwenye shughuli zake akiwa na gari dogo na watu wengine watatu na gari ilipata ajali majira ya saa 10 alfajiri ya leo. Mchungaji alifariki hapohapo na wenzake wamejeruhiwa na kukimbizwa hospitali. Kwa Mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, chanzo cha ajali hiyo bado kinachunguzwa.
Marehemu Mtikila akiwa eneo la ajali. Marehemu atakumbukwa katika harakati zake za kupigania Taifa la Tanganyika, Mgombea binafsi na haki nyingine nyingi za Binadamu. Mwenyeezi Mungu amlaze mahali pema peponi Marehemu Mchungaji Christopher Mtikila.
Jumapili, 6 Septemba 2015
WAKULIMA WA MIKOA YA LINDI, MTWARA NA PWANI CHANGAMKIA FURSA YA KUKODI MATREKTA KWA BEI NAFUU MSIMU HUU WA KILIMO..
TUNAKODISHA TREKTA!!
"Kwa wale wakulima wenye ekari za kutosha maeneo kuanzia Mkuranga, Mwarusembe, Kimanzichana ya Mkiu, Mkamba nk. hadi maeneo ya Ikwiriri na Rufiji.... Lakini pia kama kuna maeneo ambayo tunaweza kukodishwa kwa ekari 100 na kuendelea sisi tutajipanga nakukufikia…. Haijalishi ni udongo wa aina gani, trekta yetu ina nguvu za kupambana na hali zote za udongo!!
Mkombozi wa ukweli kapatikana sasa. Ile hofu ya kulima kwa muda muafaka imepata jawabu!!
Tumeleta trekta linalofaa kupambana kwa kazi maeneo hayo, trekta hilo ni FORD 7500.
Bei zetu ni nzuri zipo baina ya Tshs. 40,000/= hadi 60,000/= kulingana na umbali.
Kwa mawasiliano:
1. 0787519910 na 0767519910... Tutakujibu kwa simu na sms!!
2. Kwa 0787519910 tutakujibu kwa whatsapp
3. Email: moddyguyz@yahoo.com
4. Tembelea pia blog yetu moddyrajabu.blogspot.com
CCM NA UKAWA WACHUANA KATIKA KUJAZA WASIKILIZA SERA VIWANJANI, KATI YA MAGUFULI AU LOWASSA KUCHUKUA DOLA 2015....
KAMPENI za uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu, sasa umepamba moto na kuonyesha upinzani mkali wa jino kwa jino baina ya wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wale wanaoungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Risasi Jumamosi linathibitisha.Habari zilizopatikana kutoka mikoani ambako kampeni zinaendelea, zinasema watu wamekuwa wakijitokeza kwa wingi katika mikutano ya wagombea wa vyama vyote, ili kusikiliza sera zinazotolewa, kitu kinachoonyesha kuwa kutakuwa na upinzani mkali kwani wingi wa watu hautoi picha ya mshindi.
“Ni ngumu kubashiri, ukienda kwenye mkutano wa CCM unaweza kudhani huyu ndiye mshindi, lakini kesho unapoenda kwenye mkutano wa Ukawa, hali ni kama kule tu, Magufuli (John-CCM) anajaza watu, Lowassa (Edward, Ukawa) anajaza nyomi, watu hawatabiri,” alisema Tiom Khane, aliyejitambulisha kuwa anatoka taasisi isiyo ya kiserikali inayozunguka kufuatilia mwenendo wa kampeni.
Alisema hadi sasa wamehudhuria mikutano ya kampeni ya wagombea wa Ukawa na CCM katika mikoa ya Mwanza, Mbeya, Rukwa na Mtwara na kugundua kuwa uchaguzi wa mwaka huu utakuwa na matokeo ya kushangaza, kwani hakuna dalili za ushindi wa kishindo kama ilivyopata kutokea miaka ya nyuma.
Katika nafasi ya urais, CCM inajivunia Dk. John Pombe Magufuli wakati Ukawa wanaye Edward Lowassa, watu wawili wanaosadikika kuwa mmoja wao ndiye atarithi mikoba ya Jakaya Kikwete baada ya kumalizika kwa uchaguzi huo unaosubiriwa kwa hamu nchini.
“Ni ngumu kubashiri, ukienda kwenye mkutano wa CCM unaweza kudhani huyu ndiye mshindi, lakini kesho unapoenda kwenye mkutano wa Ukawa, hali ni kama kule tu, Magufuli (John-CCM) anajaza watu, Lowassa (Edward, Ukawa) anajaza nyomi, watu hawatabiri,” alisema Tiom Khane, aliyejitambulisha kuwa anatoka taasisi isiyo ya kiserikali inayozunguka kufuatilia mwenendo wa kampeni.
Katika nafasi ya urais, CCM inajivunia Dk. John Pombe Magufuli wakati Ukawa wanaye Edward Lowassa, watu wawili wanaosadikika kuwa mmoja wao ndiye atarithi mikoba ya Jakaya Kikwete baada ya kumalizika kwa uchaguzi huo unaosubiriwa kwa hamu nchini.
credits; masama blog
Jumanne, 18 Agosti 2015
Jumamosi, 8 Agosti 2015
RAIS DK. JAKAYA KIKWETE JUZI ALIFANYIWA HAFLA YA KUAGWA NA WASANII WA FILAMU NA MUZIKI,,,
Meza ya Jose Mara na Kelvin Twissa
Selfie zikiendelea
JK na wakongwe Nyoshi el Sadat na Komando Hamza Kalala
Kila kona selfie
JK akiendelea kusalimiana na wadau wa sanaa
JK akipeana mikono na Joh Makini
Selfie zimenoga meza ya kina Adam Mchomvu na Joh Makini
Adam Mchomvu akitoa special thanks kwa Prezidaa
JK akimsalimia Nikki wa Pili
Meza ya Fina Mango
Jose Mara akinogesha shughuli. Huyu jamaa noma
Diamond akitoa shukrani kwa niaba ya wasanii wenzie
Jose Mara jukwaani katika Big Screen
JK na King Majuto
JK akiongea na King Majuto na Mzee Shilo
JK akiwa na Bi Shakila Saidi
Steve Nyerere akiwa kavamia meza kuu
Steve Nyerere akiosha nyota
Diamond akisalimia meza Kuu
Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na mwimbaji nyota Patricia Hilary
Mshindi wa Big Brother Africa Idriss Sultan akisalimia meza kuu
Mshindi wa Big Brother Africa Idriss Sultan akisalimiana na Dkt Magufuli
Mshindi wa Big Brother Africa Idriss Sultan akificha uso
Mwanamuziki nyota Ali Kiba akitoa shukrani zake kwa JK
Vanessa Mdee akiwa jukwaani
Meza Kuu
Dkt Magufuli na Nape Nnauye wakifanya mambo jukwaani
JK akifurahi na wasanii
JK akipongezwa na King Majuto kwa kusakata rhumba
JK akipompongeza Dkt Magufuli kwa kupiga tumba kwa ustadi mkubwa
JK akisalimiana na mwigizaji nguli Ray Kigosi
Dkt Magufuli akisalimiana na Bashe
JK na msanii wa Hip Hop mkongwe Fid Q
JK akicheza na Vanessa Mdee
Wasanii wakongwe wakiserebuka
JK akifurahi na wasanii
Furaha na vicheko vilitawala
JK akisalimiana na Bushoke
Dkt Magufuli akisalimiana na Bushoke
MC Richie Mtambalike alinogesha vilivyo hafla hii
Meza kuu wakishangilia baada ya JK kutangazwa Shujaa wa wasanii
Nikki wa pili akionesha zawadi ya picha waliyoandaa wasanii
Nikki wa pili akionesha meza kuu zawadi ya picha waliyoandaa wasanii
Nikki wa pili akimkabidhi JK zawadi ya picha waliyoandaa wasanii
Nikki wa pili akimkabidhi JK zawadi ya picha waliyoandaa wasanii huku Fid Q akimuonesha majina ya wasanii wote yaliyotengeneza mosaic ya picha hiyo
Nikki wa pili akimkabidhi JK zawadi ya picha waliyoandaa wasanii
Dkt Magufuli akimpongeza Nikki wa Pili
JK akiongea na wasanii
Wasanii wakimsikiliza JK
Wasanii wakimsikiliza JK
Wasanii na wadau wakimsikiliza JK
Wasanii wakimsikiliza JK
Wasanii wakimsikiliza JK
Wasanii wakimpongeza JK
Wasanii wakimpongeza JK
Wasanii wakimpongeza JK
Wasanii wakimpongeza JK
JK akiendelea kuongea
Wasanii wakimpongeza JK
JK akipongezwa na Mwana FA kwa hotuba tamu
JK akijumuika na wasanii kucheza muziki
CREDITS;MICHUZI MATUKIO
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)





































































