Ijumaa, 6 Septemba 2013

MKUTANO WA MATAIFA MAKUBWA DUNIANI UNAFANYIKA HUKO URUSI JUU YA KUVAMIA UTAWALA WA ASSAD, TIZAMA JINSI WAASI WA NCHI HIYO WANAVYONYAKUA ROHO ZA WENGINE BILA HURUMA.

 

Kuna picha ya video inayoonesha jinsi askari saba wa serikali ya  Rais Bashar al-Assad wa Syria walivyouawa na waasi wanaopigana kuuondoa utawala huo madarakani, tukio hilo la mauaji lilirekodiwa kwa kamera na waasi hao.

Askari hao walichapwa, kufungwa kamba na kulazwa kifudifudi huku waasi hao wakiwa nyuma yao na silaha zikielekezwa nyuma ya shingo zao, askari hao walikuwa na majeraha ya kuteswa kabla ya kuuawa.   
Muda mfupi kabla ya kuuawa, kiongozi wa kundi hilo ajulikanae kama 'The Uncle', alighani shairi la dhihaka kabla ya kupiga risasi ya kwanza.


Horrific: The soldiers are stripped, bound and pushed to the ground where a number of rebels stand over them pointing guns at their bodies before they are shot
Inaogofya; askari wa Syria wakiwa wamefungwa na kulazwa kifudifudi kabla ya kuuawa, kulia kabisa ni kiongozi wa kundi la waasi ajulikanae kama'Mjomba Issa'.
Inaelezwa ya kwamba  Viongozi wa mataifa makubwa Duniani wa G20 wanakutana huko Urusi kuzungumzia maswala ya vita huko Syria na hivyo video hii itachochea moto kutokana na msimamo wa Dunia kuilaumu Syria kwamatumizi ya silaha za sumu ikiwa waasi pia wana mambo mabaya kama haya yanayolalamikiwa. 
 
Issa alirekodi video hii kwa mujibu wa mtoa habari ili aweze kupata misaada zaidi toka kwa wafadhili wake kifedha na silaha.
Brutal: The bodies of the soldiers are dumped in a well after they are shot dead by the rebels
Ukatili; Baadaye miili ya askari hao ilitupwa kwenye kisima.

The video has emerged as G20 leaders meet in Russia to debate the situation in Syria
Mkutano wa G20 ukiendelea huko Urusi.

 

Jumanne, 3 Septemba 2013

ARSENAL WAMEFANYA MAMBO. OZIL ATUA RASMI IMARATI.

Mjerumani huyo mwenye umri wa miaka 24 anayecheza nafasi ya kati amekamilisha uhamisho uliovunja rekodi kwa Madrid jana jumatatu jioni kwa ada inayoaminika kufikia paundi za Kiingereza £42.5milioni.
Ozil ameweka wazi kuwa kwa sasa hakuwa anapangwa katika kikosi cha kwanza cha Meneja wa Madrid Carlo Ancelotti kufuatia kumsainisha Gareth Bale toka Tottenham, hivyo bila kusita ameamua kuhamia timu mpya ya Arsenal, ambako anajipanga kuwa sehemu ya  timu ya ushindi ya Wenger akiwa sambamba na Jack Wilshere, Theo Walcott na Santi Cazorla.

Stint: Ozil has played 158 times for Real in just over three years
Ozil amecheza mechi 158 akiwa Real Madrid kwa zaidi ya miaka mitatu.

Jumatatu, 2 Septemba 2013

LIVERPOOL YAIFUNGA MAN U GOLI MOJA BILA.

Daniel Sturridge provided a fitting tribute to the memory of Bill Shankly with a fourth-minute winner against Manchester United to maintain Liverpool's 100 per cent start to the Barclays Premier League season.
Monday would have been Shankly's 100th birthday, and it will be celebrated with Liverpool back in their customary position as winners, with Sturridge now bagging the only goal in all three matches so far.
In contrast, Manchester United manager David Moyes endured a depressing day.
Liverpool's Daniel Sturridge
Hat-trick: Liverpool recorded their third straight league win after beating Manchester United 1-0 at Anfield
Flying start: Daniel Sturridge gave Liverpool the lead with a header in the fourth minute
Flying start: Daniel Sturridge gave Liverpool the lead with a header in the fourth minute

Right place: Sturridge flicked home Daniel Agger's header from two yards
Right place: Sturridge flicked home Daniel Agger's header from two yards
On form: Sturridge has scored in all four of Liverpool's matches this season
On form: Sturridge has scored in all four of Liverpool's matches this season
Embrace: Sturridge hugs manager Brendan Rodgers after giving Liverpool the lead
Embrace: Sturridge hugs manager Brendan Rodgers after giving Liverpool

MZEE NELSON MANDELA AMERUHUSIWA KUREJEA NYUMBANI BAADA YA KUKAA HOSPITALI KWA MIEZI MITATU.

The former South African President's daughter Makaziwe Mandela, 59, left her father's home where he is receiving intensive care
Binti wa Mzee Mandela, Makaziwe Mandela, 59, akiondoka eneo la nyumbani kwa baba yake.
Supporters and broadcasters wait outside the home that has been adapted for Nelson Mandela's condition
Waandishi wa habari wakiwa nje nyumbani kwa Mandela kushuhudia kurudi kwake toka hospitali.
South African president Jacob Zuma had urged his country to pray for Mandela and said his predecessor in the role had shown 'great resilience' 
Well-wishers outside the Mandela family home: The location of Mandela's grand family home on the wealthy Johannesburg suburb of Houghton is one of South Africa's worst-kept secrets
Wasamaria wema wakiwa nje ya nyumba ya Mzee Madiba  wakimtakia afya njema nakupona haraka.