Jumapili, 31 Julai 2011

MANCHESTER 2 VS BARCELONA 1

LIVE blog: Manchester United vs. Barcelona

For the first time since their clash in the Champions League final in May, Manchester United and Barcelona will meet again in a friendly here at FedEx Field.
Some major stars are missing, Messi and Chicharito are the most glaring absences, but it remains a compelling match-up between two of the world’s best teams.
Follow along here for live updates from Landover. The lineups were released earlier, you can catch them after the jump.
FINAL: Manchester United 2 - Barcelona 1. Can you call it revenge for the Champions League? Um, no. But it was an entertaining game and had some great goals and fun moments.
Manchester United was the better team in the first half, but Barcelona was more aggressive in the final 45 minutes and the subs helped the pace and entertainment value of the contest late. Thiago had a beautiful goal, but a giveway was punished and United got the result.
Thanks for joining us on the blog for the live chat and sorry for the technical difficulties!
90’+- Wow. Michael Owen with a laugher. Obertan turned the corner and found Owen alone on the far post, but he somehow put his effort way over the frame. That was embarrassing.
89’ - Nearly an equalizer! Barcelona moving the ball well in the final third and get a good look at goal, but Thiago’s shot goes over the bar.
85’ - The pace of the game has certainly picked up since about the 65th minute. That’s when you saw some subs and young players come on. Fresh legs and something to prove. Been a bit more back and forth.
76’ - GOAL! Didn’t take long for Manchester United to reclaim the lead. A very poor square pass from Busquets in his own half was intercepted by Tom Cleverly, and he put Michael Owen in alone. Owen made no mistake in front of net, chipping over Valdes’ left hand to give United the 2-1 lead.
70’ - GOAL! Barcelona finally evens the score on a brilliant play from Thiago. A ball from Carlos Carmona slipped by a sliding Ryan Giggs, Thiago took possession, looked up from 20 yards out and hit a curling ball that turned inside out and into the upper 90. 1-1.
Computer issues kept me from updating the first 25 minutes of the second half.
HALFTIME: Manchester United certainly looked the more dangerous team in the attack, with Barcelona only showing some flashes of its ability when it strings passes together. Iniesta had late signature pass that set up a chance, but Manchester United’s defense handled its business.
Nani was the most dangerous player on the field in the first 45 minutes, constantly taking on defenders down the right sideline and serving in several dangerous crosses. His perfectly-timed run was rewarded and he showed composure with a great finish. It’s 1-0 here at FedEx in favor of United.
43’ - Afellay off. Isaac Cuenca on for Barcelona.
41’ - Looks like Afellay just pulled his left hamstring. Grabbed back of his left leg as he dribbled toward the sideline. He’ll get subbed out.
39’ - Nani continues to cause headaches for Barca, but a Rooney giveaway at the top of the box leads to a counter. No matter. Once again United’s back line steps up, this time Jonny Evans doing well to block a shot and draw a foul.
35’ - United defense is up to the task tonight, but Barcelona seems to be taking extra touches in the box. Looking for special moments in a friendly perhaps.
30’ - Jonathan dos Santos earns a yellow card for a knee-to-thigh challenge on Ashley Young.
28’ - It’s a deserved lead for Manchester United. Barcelona had started to press more and Man U was defending with 11 behind the ball, but they broke out quickly on that counter and Nani timed his run perfectly to stay onside. Barca playing a high line defensively and United looking to exploit it.
22’ - GOAL! Barcelona was holding the ball more in the final third and earns a corner kick but Manchester United clears and counters right up the gut. Nani makes a run crossing defenders to the left side, gets the feed from Welbeck and finishes low. 1-0 Manchester United
20’ - Still not much for Barcelona in the final third. Afellay with a couple stepovers to get into the box but his touch is a bit heavy and the ball goes over the end line for a goal kick.
15’ - A Barca chant breaks out at FedEx but United looking dangerous still. A little combination between Rooney and Nani leads to another cross, but Barca clears. The right side is being exploited right now by the Red Devils. Abidal playing left back.
10’ - Manchester United has what may qualify as more than a half chance. Nani got the ball on the right sideline and served a low curling ball on the ground. Rooney met it at the near post but his effort was wide. Should have at least put the shot on target. Nonetheless, Man U actually with the better of play, I’d argue, through the first 10 minutes.
5’ - Manchester United with the first chance. Evra with a pretty ball down the left sideline to Ashley Young, but his cross is easily collected by Valdes. Now Sergio Busquets is down on the field.
1’ - And we’re off here at FedEx Field. Manchester United kicked off as the crowd still fills in the upper bowl in Landover.

Barcelona Starting XI: Valdes; Fontas, Abidal, Alcantara, dos Santos; Busquets, Iniesta, Keita; Villa, Pedro, Afellay. Subs: Pinto, Masip, Balliu, Pique, Puyol, Xavi, Suarez, Riverola, Cabelino, Lozano, Muniesa, Carmona, Espinosa, Cuenca
Manchester United Starting XI: De Gea; Evra, Vidic, Evans, Rafael; Cleverly, Anderson, Young, Nani; Rooney, Welbeck. Subs: Lindegaard, Amos, Jones, Ferdinand, Smalling, Fabio, Obertan, Owen, Giggs, Carrick, Park, Diouf, Berbatov, Macheda

LIVERPOOL KUENDELEA KUMKOSA GERRAD HADI MWEZI SEPTEMBER AKIENDELEA NA MATIBABU HOSPITALI.

Steven Gerrad kushoto.
Gerrad katika hekaheka za uwanjani mwanzoni mwa msimu uliopita.

SONGEA; MEYA WA MANISPAA YA SONGEA MH. ALLI MANYA AMEFARIKI DUNIA LEO AKIWA HOSPITALI YA PERAMIHO

Marehemu Alli Manya wa kwanza kulia enzi za uhai wake, alikuwa meya wa manispaa ya Songea pia diwani wa kata ya Lizaboni huko Songea, mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho huko Lizaboni songea,KWA MUNGU KILA KIUMBE KITARUDI KWAKE,AMINA.

TEKNOLJIA YA KAMERA KATIKA GOLI KUANZA KUTUMIKA.

Teknolojia katika soka

Teknolojia  katika soka
Teknolojia katika soka
Teknolojia ya kutumia kamera katika goli huenda ikaanza kutumika katika ligi kuu ya Premier mwanzoni mwa msimu ujao wa 2012-13.
Halmashauri ya kimataifa ya chama cha mpira cha England itatoa uamuzi kama idhinishe mfumo huo ama la mnamo mwezi wa Machi 2012.
Ikiwa itathibitishwa basi kiongozi wa FIFA Sepp Blatter anasema ligi za soka zitaweza kuutumia mwanzoni mwa msimu wa 2012-13 endapo utakua hauna kasoro wala hautagharimu fedha nyingi.
Mkuu wa ligi ya Premier ya England, Richard Scudamore amesema kwamba watautumia mfumo huo mara tu utakapoidhinishwa.

Teknolojia ya goli kuidhinishwa.
Blatter aliongeza kusema kwamba teknolojia hiyo inaweza pia kutumika katika michuano ijayo ya kombe la dunia la mwaka 2014 nchini Brazil .
Kwa miaka mingi mkuu huyo wa Fifa amekua akipinga matumizi ya teknolojia katika eneo la goli lakini inaelekea alibadili mawazo yake baada ya mabishano makali kuzuka mnamo mwaka 2010.

WAMSHUKU KUWA NI GAIDI KWA KUSOMA KURAN NDANI YA BASI, MMH!!!!



Sunday, July 31, 2011 10:25 AMMwanaume mmoja raia wa Tunisia aliyekuwa akisoma quran kwa sauti ya chini akiwa ndani ya basi la abiria lililokuwa likitoka Denmark kwenda Ufaransa, aliingia matatani baada ya kushukiwa ni gaidi anayejiandaa kujilipua.
Tukio hilo lilitokea kaskazini mwa nchini Ujerumani wakati basi hilo la abiria ambalo lilikuwa likitokea Copenhagen kuelekea Paris lilipolazimika kupaki pembeni ya barabara na kusababisha foleni kubwa kwa masaa mawili wakati polisi, mbwa na wataalamu wa mabomu wakilifanyia uchunguzi basi hilo na mwanaume aliyedaiwa kuwa ni gaidi.

Tukio hilo lilitokea baada ya mwanamke mmoja aliyekuwa amekaa pamoja na mwanaume huyo alipomsikia mwanaume huyo ambaye jina lake halikutajwa akisoma quran kwa sauti ya chini.

"Alimsikia akisoma surah za Quran kwa sauti ya chini na alikichukulia kitendo hicho kama maandalizi ya mwanaume huyo kujilipua", alisema msemaji wa polisi wa mji wa Rotenburg, Detlev Kaldinski.

Alimuonya dereva kuwa kuna mtu anataka kujilipua na kusababisha dereva wa basi hilo lililokuwa limebeba abiria 45 kulipaki basi hilo pembeni ya barabara bila ya kujali ilikuwa ni usiku wa manane.

Baada ya muda mfupi polisi waliwasili wakiwa na timu ya watu 20 wakiwemo wapelelezi, wataalamu wa mabomu na kikosi maalumu cha jeshi pamoja na mbwa wa kunusa mabomu.

Uchunguzi uliofanyika ulionyesha kuwa mwanaume huyo raia wa Tunisia hakuwa na mabomu wala silaha yoyote.

Mwanamke aliyenzisha kasheshe hilo aliwaambia polisi kuwa alimsikia mwanaume huyo akitaja jina la Osama wakati wa dua zake.

Mwanaume aliyeshukiwa kutaka kujilipua alijitetea kwa kusema kwamba marafiki zake hupenda kumuita kwa jina la Osama na yeye mwenye pia hupenda kujiita kwa jina hilo

Jumamosi, 30 Julai 2011

WANAWAKE WAJIHADHARI NA MUUAJI WA WANAWAKE GESTI.



Wanawake jihadharini na mwanaume huyu


Friday, July 29, 2011 2:19 AM
WANAWAKE wa jiji la Dar es salaam mnatakiwa kuwa makini na macho na hasa kupunguza tamaa za kimwili na mali kwa kuwa amejitokeza mwanaume mmoja anayenyonga wanawake mara amalizapo kufanya nae mapenzi imedaiwa.
Mwanaume huyo inasemekana ni mmoja ambaye hadi sasa ameshanyonga wanawake wapatao saba na wa saba ni mwanamke aliyekuwa mke wa mwanamziki wa kundi la Taarabu la Five Star aitwae Issa Kamongo(pichani-Farida) mazishi yake yaliyofanyika juzi Bunju

Kutokana na kukua kwa idadi ya wanawake wanaonyongwa kuongezeka siku hadi siku wanawake wanatakiwa kuwa makini na mwanaume huyu anayenyonga wanawake kwa sababu ambayo haijafahamika hadi sasa

Mwanaume huyu inasemekana anapendelea sana wake za watu, wanawake weupe na wenye mvuto na kisha kumrubuni kuingia nae nyumba ya wageni’gest’ na kisha kumnyonga mwanamke huyo na kumlaza kifudifudi na yeye kutimka

Mwanaume huyo anahisiwa kuwa ni mmoja kwa mujibu wa mashuhuda wanaomuona aingiapo na wanawake ambapo maelezo ya wahudumu wa gesti wanapokufa wanawake huwa yanafanana

Wasifu wa mwanaume huyo anadaiwa kuwa ni Mweupe, mzuri wa maumbile na sura yaani Handsome’ na anapendelea kuvaa kofia aina ya kep

Jana mwanamke mmoja aliweza kuongea ndani ya Redio na kukiri ni kweli mwanaume huyo yupo, na ameshawahi kukatana nae maeneo ya ubungo na mwanaume huyo alimwita kwa lengo la kumuuliza amsaidie kwa kuwa eneo hilo yeye ni mgeni na mwisho akaanza kumrubuni na kumtaka aende nae kwenye msitu wa Chuo Kikuu

Amesema walishaanza safari na mwanamke huyo wakati akiongea nae machale yakamcheza na alijisikia kama haongei na mwanadamu wa kawaida na mwili kuwa kama umekufa ganzi na ghafla mwanamke huyo alimwambia amuache kwanza kuna kitu amesahau pale alipotoka na kumuahidi angerudi na ndipo alipoponea kwenye tundu la sindano

Hata hivyo inahisiwa kuwa huenda mwanaume huyo hutumia pia nguvu za giza kuwapata wanawake hao kwa kutojielewa.

Awali mwanzoni mwa mwezi Juni, jeshi la polisi lilishatoa tahadhari kwa wanawake na kuahidi kumsaka mwanaume huyo lakini bado hajakamatwa na kutangazwa

LIBYA;WAASI WALIMUUA KAMANDA WAO WENYEWE.

Kamanda wa Libya aliuliwa na wenzake

Viongozi wa wapiganaji wa Libya wanasema wafuasi wao wenyewe ndio waliomuuwa kamanda wa jeshi la wapiganaji hao, Jenerali Abdel Fattah Younes.
Mazishi ya Jenerali Younes Ijumaa


Waziri wa Mafuta na Fedha wa wapiganaji, Ali Tarhouni, alisema Jenerali Younis aliuliwa na wapiganaji walioasi, na wanaoshirikiana na waislamu wenye msimamo mkali.

Alisema haijulikani sababu yao ya kumuuwa kamanda huyo.
Alieleza kuwa waasi hao walimchukua Jenerali Younes na kumpiga risasi na kumuuwa, baada ya jenerali huyo kuitwa aende mbele ya kamati inayochunguza kama alikuwa mtiifu kwa wapiganaji.
Serikali ya Kanali Gaddafi ilisema mauaji hayo yanaonesha kuwa wapiganaji hawatoweza kuiongoza Libya, na hata wanashindwa kuwalinda viongozi wao

HONGERA CRDB KWA KUTOA HUDUMA HADI NYUMBANI; GARI LA HUDUMA ZA KIBENKI ZA CRDB LIKIWA LINAHUDUMIA WATEJA MJINI NACHINGWEA JANA.

Wateja wakipata huduma za kibenki.


Gari hili inasemekana lipo siku zote, kwa ushauri tu mnaonaje mkifungua tawi rasmi!!? Inavyoonekana Wateja ni wengi wa kutosha,kazi kwako Dr. Kimei.

Ijumaa, 29 Julai 2011

MH. RAIS J K KIKWETE AMALIZA ZIARA YA SIKU TANO MKOANI MTWARA, APANDA NDEGE UWANJA WA NACHINGWEA ALASIRI HII KUENDELEA NA RATIBA ZINGINE.

Uwanja wa ndege Nachingwea,wananchi wakisubiri kumuaga Mh. Rais
Wnafunzi wa Chuo cha Ualimu Nachingwea wakiwa wamejipanga kumuaga JK

Mama Salma Kikwete alianza kuwasili 
Baadaye Mh. Rais Alipokelewa Uwanjani
JK akisalimia baadhi ya viongozi waliomlaki.

Jumatano, 27 Julai 2011

MBUNGE WA NYAMAGANA NDUGU WENJE ATOLEWA NJE YA BUNGE NA ASKARI BAADA YA KUTOKEA TAFARANI KIDOGO MCHANA HUU.

Huyu bwana Ezekia Wenje huwa naogopa hata kumuita mheshimiwa kwani ana matata sana akiwa bungeni,mengine naona hayana hata msingi........Alitolewa nje na sajini wa Bunge kwa kosa la kuongea bila ruhusa ya Mwenyekiti wa Bunge pale alipokuwa akimtetea mbunge mwenzie Tundu Lissu kuwa ameonewa,alikuka taratibu za kuongea bila ruhusa.

MAITI YAZINDUKA MOCHWARI NA KUZUA TAFRANI.



Mwanaume mwenye umri wa miaka 50 wa nchini Afrika Kusini ambaye alihisiwa kuwa amefariki na mwili wake kulazwa monchwari kwa masaa 21, alizinduka na kuwafanya wafanyakazi wa monchwari wakimbie wakidhani wameona mzimu.
Kelele za maiti akitaka atolewe toka kwenye chumba chenye baridi kali cha monchwari, ziliwafanya wafanyakazi wa monchwari watoke nduki wakidhani wameona mzimu.

Tukio hilo lilitokea juzi jumapili nchini Afrika Kusini wakati mwanaume mwenye umri wa miaka 50 kuhisiwa kuwa ameiaga dunia na mwili wake kupelekwa monchwari wakati taratibu za mazishi zikiandaliwa.

Lakini baada ya mwili wa mwanaume huyo ambaye jina lake halikutajwa kuwekwa kwenye chumba chenye baridi cha monchwari kwa zaidi ya masaa 20, mwanaume huyo alizinduka na kujikuta yuko monchwari kwenye baridi kali sana.

Mwanaume huyo alipiga kelele akitaka atolewe toka kwenye chumba hicho lakini badala yake wafanyakazi wa monchwari walidhani wameona mzimu na kutimua mbio.

"Familia yake walidhani ameiaga dunia", alisema msemaji wa wizara ya afya, Sizwe Kupelo.

"Familia yake ikiamini kuwa ndugu yao amefariki iliwaita waandaaji wa mazishi ambao waliuchukua mwili wa marehemu na kuupeleka monchwari lakini kwenye majira ya saa 11 jioni jana jumapili, mwanaume huyo alizinduka na kupiga kelele atolewe toka kwenye chumba cha baridi", alisema msemaji huyo wa wizara ya afya.

Tukio hilo lililotokea kwenye mji mdogo wa Libode lilisababisha wafanyakazi wawili wa monchwari waliokuwa zamu waamue kutimua mbio wakidhani wameona mzimu.

Baada ya kupiga kelele za kuomba msaada na baadae kurudi monchwari na kumkuta mwanaume huyo yuko hai, waliita ambulansi ambayo ilikuja kumchukua mwanaume huyo na kumuwahisha hospitali.

Msemaji huyo wa wizara ya Afya aliwataka wananchi kutojichukulia majukumu ya kuwaita watu wa monchwari wanapodhani ndugu zao wamefariki.

"Ni madaktari, watoa huduma za afya au mapolisi ndio wenye haki za kuwachunguza wagonjwa na kutoa taarifa kama wamefariki au la", alisema msemaji huyo wa wizara ya afya.

Taarifa iliyotolewa leo na wizara ya afya ilisema kwamba mwanaume huyo alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa asthma na ndugu zake walidhani amefariki alipokutwa amezimia nyumbani kwake.

Taarifa hiyo iliongeza kuwa mwanaume huyo alilazwa kwenye toroli ndani ya chumba chenye baridi kali cha monchwari kwa masaa 21 kuanzia siku ya jumamosi jioni mpaka alipozinduka siku ya jumapili.

Jumatatu, 25 Julai 2011

25 JULAI, LEO NI SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA INAYOADHIMISHWA KITAIFA HUKO NALIENDELE MTWARA, MH. RAIS JAKAYA KIKWETE NDIYE MGENI RASMI. RIP MASHUJAA WETU.

Baadhi ya makaburi ya wanajeshi waliofia vitani, haya ni ya waislam.
Haya ni ya wakristo wanajeshi waliofia vitani wakitetea nchi yao.

MECHI YA NGAO YA HISANI KATI YA SIMBA NA YANGA IMESOGEZWA MBELE HADI TAREHE 17/07/2011,UWANJA NI ULE ULE WA TAIFA

Kikosi cha Simba S C

Kikosi cha Yanga AFC

BALOTELLI AANZA TENA VITUKO UWANJANI, MANCINI AMTOA NJE.


Mchezaji wa Manchester City Mario Balotelli alitolewa nje katika kipindi cha kwanza katika mechi yao dhidi ya LA Galaxy kwa kutoonyesha heshima kwa wapinzani wake.
Mancini na Balotelli

Mshambulizi huyo wa Italia mwenye umri wa miaka 20 alikuwa karibu kufunga goli,lakini hakufunga na badala yake akapiga mpira kwa kisigino na kukosa kufunga.
Kocha wa Manchester City Roberto Mancini alimpumzisha Balotelli kutokana na tukio hilo lakini wakati akitoka nje ya uwanja akajibizana na kocha wake.
Awali Balotelli alifunga bao kupitia mkwaju wa penalti katika mechi hio ya kirafiki ilomalizika kwa sare ya 1-1.
Man City Imepata ushindi wake wa tatu katika mechi zake za kujiandaa kwa msimu wa ligi kuu ya England.Katika uwanja huo mashabiki wa LA Galaxy walimzomea Balotteli kwa kitendo chake hicho.
Hii si mara ya kwanza kwa mchezaji huyo wa zamani wa Inter kujikuta katika matatizo na Kocha Mancini, ambaye pia alikuwa kocha wake nchini Italia

Jumapili, 24 Julai 2011

MUUAJI WA WANORWAY ASEMA YEYE NI MFIA DINI ASIYEUPENDA UISLAM,..... ATAKUWA KICHAA HUYU, SIO BURE,..LOH!!!

Norwegian massacre gunman was a right-wing extremist who hated Muslims

  • Suspect named by Norwegian media as Anders Behring Breivik
  • Police believe he is not connected to Islamist organisations
  • Claims he boasted online about having talks with English Defence League
  • 'Loner' lived with mother in a wealthy suburb and is well-educated
  • Reports say he attended same school as Norway's crown prince
  • Posted on Twitter: 'One person with a belief is equal to the force of 100,000 who have only interests'
  • Farm business gave him easy access to fertiliser - an ingredient used in bomb-making
  • Police say he is a 'very demanding suspect'


Suspect: Norwegian media reported that Anders Behring Breivik has been arrested

Suspect: Norwegian media reported that Anders Behring Breivik has been arrested
The man responsible for the massacre in Norway was a member of a Swedish nazi forum which encourages attacks on government buildings.
It was also revealed by local police that he had extreme right wing views who hated Muslims.
According to Swedish website Expo Anders Behring Breivik is a member of 'Nordisk' which has 22,000 members and focuses on political terrorism.
Officers also found a series of raving internet posts by the 32-year-old, who has been charged with two counts of terrorism after gunning down children on the island of Utoya and detonating a bomb in Oslo yesterday.
Media reports in Norway described Breivik as a 'loner', who lived with his mother in a wealthy suburb of west Oslo, was well-educated and enjoyed hunting.
Only a few days ago he set up a Twitter account and posted a single message: 'One person with a belief is equal to the force of 100,000 who have only interests'.
It is attributed to the English philosopher John Stuart Mill, whose concept of liberty justified the freedom of the individual in opposition to unlimited state control.
The account appears to have only been set up a few days ago.
On his Facebook profile, Breivik describes himself as a Christian and a conservative.
It also listed interests such as body-building and freemasonry.
Breivik is believed to have grown up in Oslo, and studied at the Oslo School of Management.
He later appears to have moved out of the city and established Breivik Geofarm, a company believed to be an organic farm.
Anders Behring Breivik

Arrested: Anders Behring Breivik callously opened fire on groups of teenagers on the island of Utoya


Suspect: Further photographs of Anders Behring Breivik, such as this one where he is carrying a weapon, have emerged
It specialised in melons and root vegetables. There is speculation among the media in Norway that this may have allowed him easy access to fertiliser, an ingredient used in bomb-making.
Along with the farm, he also appears to own a flat in Oslo. Breivik had no military background except for ordinary national service and no criminal record.
It is thought that the 32-year-old is a former member of Labour's opposition youth party, Fremskrittspartiet.
Police at the home of Breivik, a farm at Ostre Asta near Oslo, where he allegedly planned the entire massacre
Police at the home of Breivik, a farm at Ostre Asta near Oslo, where he allegedly planned the entire massacre
He is reported to have attended the same Smestad primary school as Norway's crown prince.
He is later said to have attended schools in Oslo's Gaustad and the Handelsgymnasium.
Classmate Michael Tomola, who knew Breivik from the age of 13 to 16, said: 'He was rather introverted at school, even though he was a good student. I'm very surprised by this. I had a good impression, although he became very engaged in subjects he cared for. He got very extreme about things he cared for.'
According the website Atlantic.com, Breivik expressed extremist Islamophobic views on forums and criticised immigration policies.
He argued on a Swedish news website that the media were not critical enough about Islam and claimed that Geert Wilders' Party for Freedom in the Netherlands was the only 'true' party of conservatives.
Web: Breivik's sole tweet, posted last week, is attributed to the English philosopher John Stuart Mill - whose concept of liberty justified the freedom of the individual in opposition to unlimited state control
Web: Breivik's sole tweet, posted last week, is attributed to the English philosopher John Stuart Mill - whose concept of liberty justified the freedom of the individual in opposition to unlimited state control
He said that socialism was breaking down traditions, culture, national identity and other societal structures and that this in turn made society weak and confused.
He claimed to admire the Norwegian Second World War hero Max Manus, a highly decorated sailor who was an expert in sinking Nazi ships.
It has also been reported he boasted about conversations with unnamed members of the far-right English Defence League and the organisation Stop the Islamification of Europe.
He is said to have spoken to them about the success of provocative street actions leading to violence.
It is claimed he wrote on a blog two years ago: 'I have on some occasions had discussions with SIOE and EDL and recommended them to use certain strategies.
'The tactics of the EDL are now to 'lure' an overreaction from the Jihad Youth/Extreme-Marxists, something they have succeeded in doing several times already.'
Breivik's Facebook profile listed his favourite books as The Trial by Franz Kafka and Nineteen Eighty-Four by George Orwell.
His favourite TV show was named as Dexter - a series about a Miami police forensics expert who moonlights as a serial killer of criminals whom he believes have escaped justice.
Police officer Roger Andresen said today: 'He is clear on the point that he wants to explain himself.'
Andersen said the suspect posted on websites with Christian fundamentalist tendencies. He did not describe the websites in any more details.
Crime scene: The 32-year-old Norwegian used this white van to drive onto the island of Utoya

Crime scene: The 32-year-old Norwegian is said to have used this white van to drive onto the island of Utoya
National police chief Sveinung Sponheim said he was talking to them and has admitted to firing weapons on the island.
It was not clear if he had confessed to anything else he is accused of. Police said he retained a lawyer, who did not want to be named
'He has had a dialogue with the police the whole time, but he's a very demanding suspect,' Sponheim said.
He also told public broadcaster NRK that the suspected gunman's Internet postings 'suggest that he has some political traits directed toward the right, and anti-Muslim views, but if that was a motivation for the actual act remains to be seen'.
Six foot tall and blond Breivik is reported to have arrived on the island of Utoya dressed as a policeman and opened fire after beckoning several young people over in his native Norwegian tongue.
CHANZO; http://www.dailymail.co.uk/

UJUMBE KWA NGELEJA; ETI WAYA ZA UMEME TANZANIA ZAAMUA KUCHEZA MPUTA(WANGONI=MCHEZO WA KURUKA KAMBA)SABABU ZINAONA MUDA MWINGI HAZINA KAZI KUTOKANA NA MGAO, UNAONA EENHEEE!!!?

Nimeipenda hii!!!!!

Mzaha kwa Tanesco!

Utani mwingine bwana.....

Mkuu mwenzangu Mtakatifu Simon Kitururu anasema yafaa hata kuanikia nguo hasa mchana umeme unapokatika.

Chanzo; Hadubini- My- o -scope  

FM ACADEMIA "WAZEE WA NGWASUMA" WAKIBURUDISHA MASHABIKI UKUMBI WA VIJANA SOCIAL SABASABA MOROGORO USIKU WA KUAMKIA JANA, LEO WAPO KIJIJI CHA MAKUMBUSHO DAR KAMA KAWAIDA.



Wacheza shoo wakishambulia jukwaa.

BURIANI MHARIRI WA GAZETI LA RAI, BW. DAN MWAKITELEKO

L
Gari aliyokuwa akiendesha marehemu, hapa ni baada ya kupata ajali kwa kuingia chini ya tela lililoegeshwa kando ya barabara almaarufu vicheche.

Marehemu Dan Mwakiteleko aliyefariki jana asubuhi kitengo cha MOI hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kupata ajali yagari maeneo ya TOT Tabata usiku akiwa anatokea kazini kuandaa gazeti la RAI la juzi, Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, AMEN.

Jumamosi, 23 Julai 2011

OMARI MBELA ATIMIZA MIEZI MINNE NA NUSU HAPA DUNIANI, MWENYEZI MUNGU AMNUSURU NA MABALAA ATUKUZIE KIUMBE CHETU, AMINA

Akitafakari.

Omari Mbela akiwa kajipumzisha.

MAUAJI YA KUTISHA YAFANYWA NA KIJANA MMOJA NORWAY.

Watu 91 wameuawa Norway

Polisi nchini Norway sasa wanasema kuwa mtu aliyekuwa na bunduki aliyefyatua risasi katika mkusanyiko wa vijana katika kisiwa chenye kambi ya vijana nje ya mji mkuu, Oslo, Ijumaa jioni, alisababisha vifo vya watu 84.
Awali mlipuko wa bomu ulikuwa umesababisha vifo vya watu saba.
Majeruhi walioogeleea kutoka kisiwa cha Utoeya, kinachonekana kwa mbali


Polisi wamemfungulia mashtaka raia mmoja wa Norway, mwenye umri wa miaka 32, kwa kutekeleza mashambulio yote mawili.
Mtu huyo aliyekuwa amevaa mavazi ya afisa wa polisi wakati wa kufanya mashambulio hayo, alikamatwa katika kisiwa kidogo cha Utoeya, baada ya kufyatua risasi ovyo kwa kipindi cha saa nzima.
Waziri mkuu Jens Stoltenberg amesema watu wengi bado wanaendelea kuwatafuta watoto wao kufuatia mashambulio hayo.
Waziri mkuu alisema hayo kufuatia kuwatembelea walioathiriwa na vile vile jamaa zao.
Kiongozi huyo alikuwa ameandamana na Mfalme wa Norway, Harald na Malkia Sonja, na vile vile mwanamfalme Haakon, walipoutembelea mji wa Sundvollen, karibu na kisiwa cha Utoeya.
Mtu aliyekamatwa amehusishwa na makundi yenye itikadi za siasa kali.
Anders Behring Breivik
Anders katika Facebook anasema yeye ni Mkristo
Jina lake ni Anders Behring Breivik.
Polisi usiku mzima wamekuwa wakiikagua nyumba anayoishi mjini Oslo, na bado wanaendelea kumhoji.
Mwandishi wa BBC Richard Galpin, anasema Norway imekuwa na matatizo ya kisasa yanayotokana na makundi yanayounga mkono siasa za ki-Nazi, lakini raia wengi wamekuwa wakiamini kwamba makundi mengi ya aina hiyo yamekomeshwa.
Polisi wanaendelea kuchunguza iwapo alitekeleza mashambulio hayo kama mtu binafsi, au alisaidiwa na makundi fulani

Ijumaa, 22 Julai 2011

WALIMU WATAKAOPANGIWA KAZI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU KULIPWA POSHO YA LAKI TANO

Waziri wa Elimu Dk. Shukuru Kawambwa.

SERIKALI mwaka huu itaanza kulipa posho ya kujikimu ya Sh. 500,000 walimu watakaopangiwa na kuripoti katika maeneo yenye mazingira magumu ikiwa ni sehemu ya motisha kwao.

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, aliliambia Bunge juzi kwamba utaratibu maalumu utafanyika kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu, Tamisemi, kuainisha na kutambua maeneo yenye mazingira magumu nchini kote.

Dk. Kawambwa aliyasema hayo wakati akijibu hoja za wabunge kabla ya kupitishwa kwa Makadirio ya Matumizi ya Wizara yake, Sh bilioni 659.29 kwa mwaka huu wa fedha; Sh. bilioni 71.76 za matumizi ya kawaida; Sh. bilioni 34.43 mishahara na Sh bilioni 37.33 matumizi mengineyo.

Chini ya mpango huo wa kutoa motisha kwa walimu, Dk Kawambwa alisema nyumba 1,200 zenye uwezo wa kuchukua familia mbili kila moja, zitajengwa katika maeneo hayo ambayo hata hivyo hakutaja vigezo vitakavyotumika kuyatambua.

Alisema lengo ni walimu hao wafikie kwenye nyumba za heshima ili wapate ari ya kufanya kazi. Majibu ya Waziri yalitokana na hoja za wabunge ambao wengi wao walizungumzia suala la maslahi ya walimu huku wengine wakiitaka Serikali itafute ufumbuzi wa tatizo la baadhi yao kukataa kuripoti katika baadhi ya maeneo.

Akiendelea kutaja mikakati ya kuboresha taaluma ya ualimu, Waziri Kawambwa alisema pia Serikali imepandisha posho ya wanavyuo vya ualimu wanaokwenda kufanya mafunzo kwa vitendo kutoka Sh. 800 hadi Sh 2,000 kwa siku. Alisema posho hiyo itaendelea kurekebishwa kulingana na mahitaji.

Katika hatua nyingine, alisema Serikali itaunda bodi itakayokuwa na mamlaka ya kusimamia taaluma ya ualimu kama ilivyo kwa taaluma zingine nchini. Alisema chombo hicho, kitawajibika kusimamia taaluma na maadili ya walimu.

Ingawa Kawambwa hakusema ni lini chombo hicho kitaanzishwa, alisema kama ilivyo kwa madaktari, wahandisi na taaluma nyingine zenye bodi maalumu za usimamizi, kwa walimu, bodi hiyo itawezesha wanataaluma hao pia kuwa chini ya chombo chao.

Akizungumzia changamoto iliyotolewa na wabunge kuhusu kuimarisha Idara ya Ukaguzi, Waziri alisema Serikali inafanyia kazi ushauri huo hususan unaotaka iwepo mamlaka au wakala anayejitegemea kwa ajili ya kuendesha kitengo hicho. Alisema wameshajadili suala hilo mara nyingi.

KATIBU MKUU NISHATI NA MADINI APEWA LIKIZO YA MUDA YENYE MALIPO ILI KUPISHA UCHUNGUZI DHIDI YAKE UTAKAOFANYWA NA C A G NA VYOMBO VINGINE ILI KUJUA UKWELI WA MADAI YA RUSHWA YANAYOMKABILI, IKULU YASEMA.

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini anayeshukiwa kwa rushwa Ndg.David Jairo.

Jumanne, 19 Julai 2011

MREMBO AHAIDI KUVUA NGUO KUSHANGILIA USHINDI WA PARAGUAY

Mrembo Kusaula Nguo Kushangilia Ushindi wa Timu ya Taifa


Larissa Riquelme
Tuesday, July 19, 2011 1:10 AMMacho ya washabiki wa soka wa nchini Paraguay yameelekezwa kwa mrembo maarufu nchini humo ambaye aliahidi kusaula nguo zake zote iwapo timu yake ya taifa ingevuka hatua ya robo fainali ya kombe la Copa America.
Mrembo wa nchini Paraguay, Larissa Riquelme aliahidi kumwaga radhi hadharani katika kushangilia timu yake ya taifa iwapo timu hiyo itavuka hatua ya robo fainali ya kombe la Copa America.

Hivi sasa macho ya washabiki wa soka wa nchini Paraguay yameelekezwa kwa Larissa kwani timu ya taifa ya Paraguay imeweza kuvuka hatua ya robo fainali baada ya kuibugiza Brazil mabao 2-0 kwa penalti na kuitupa nje ya mashindano ya Copa America.

Katika mechi hiyo iliyoamuliwa kwa penalti baada ya mechi kuisha sare ya 0-0, Brazil ilikosa penalti zote nne ilizopiga wakati Paraguay iliweza kuzamisha kimiani penalti mbili kati ya tatu ilizopiga.

Wakati Paraguay ikijiandaa kupambana na Venezuela siku ya jumatano kwenye mechi ya nusu fainali, washabiki wa soka wanasubiri kuona kama Larissa atatimiza ahadi yake.

Larissa aliwahi kutoa ahadi kama hiyo wakati wa kombe la dunia nchini Afrika Kusini mwaka jana, lakini kwakuwa Paraguay haikufika mbali hakulazimika kuitimiza ahadi yake.

PAMOJA NA KUANDALIWA KABURI LAKE ZURI HUKO KIJIJINI KWAKE,MZEE MANDELA AFIKISHA MAKA 93.

Happy birhday Mandela. 


Nelson Rolihlahla Mandela, Rais wa zamani wa Afrika Kusini jana aliadhimisha mwaka wa 93 wa kuzaliwa kwake akiwa pamoja na jamaa na marafiki huko kijijini kwao Zunu huku wananchi wa Afrika Kusini wakiungana kwa nyimbo na huduma za kijamii na shujaa huyo wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi.
Mamilioni ya wanafunzi wa shule waliimba nyimbo ya kumpongeza Mandela kwa kutimiza miaka 93 huku salamu za pongezi zikimiminika kutoka kila kona ya dunia.
Mwaka 2009 Umoja wa Mataifa ulizindua rasmi Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela kwa heshima ya shujaa huyo wa Afrika wakati alipoadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa kutoa huduma za kijamii.
Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitumia fursa hiyo ya maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Nelson Mandela kwa kutoa mwito kwa walimwengu wabadilike na wajibidiishe kusomesha watoto, kuwalisha wenye njaa na kujitolea katika huduma za hospitali na jumuia za kijamii

HAPPY BIRTHDAY SOPHIA

Sofia akicheza kiduku mbele ya babake katika kusheherekea siku ya kuzaliwa kwake nyumbani kwao Mabibo Luhanga jumapili iliyopita,urithi wa mtoto ni elimu baba, mpe haki yake.

MDAU WA BLOGU YETU JANA ALIWASILI MOROGORO KWA SHUGHULI ZA KIJAMII NDIYO SABABU YA KUTO UPLOAD JANA, SORRY FOR THAT.

Mitaa ya Mji kasoro bahari jana jioni.

Miundombinu ya barabara wamepiga hatua, kuna hadi njia za watembea kwa miguu na wapanda baiskeli.
Inayoonekana mbele ni milima ya Uluguru.

Jumapili, 17 Julai 2011

NGELEJA AWEKWA KITI MOTO BUNGENI JUZI

Makao makuu ya TANESCO,Ubungo.

Leon Bahati, Dodoma
WABUNGE jana walimweka kitimoto Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja baadhi yao wakimtuhumu kwa kudanganya kwenye bajeti yake na kurundika miradi ya umeme jimboni kwake (Sengerema) na kwa maswahiba wake ambao pia ni mawaziri.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti Bungeni jana, wabunge hao walisema bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini mwaka 2011/12, ni mbaya na mbovu isiyofaa hata kupitishwa.

Wakichangia makadirio ya matumizi ya wizara yaliyowasilishwa Bungeni jana asubuhi na Waziri Ngeleja, wengi wao walieleza kutoridhishwa na mipango iliyomo katika hotuba ile.

Mbunge wa Same Mashariki (CCM) Anne Kilango Malecela na mwnezake wa Nkasi,  Ally Mohamed pia wa CCM ndio walioanza kumwashia moto Ngeleja  na kisha  kufuatiwa na wabunge wengine.

Kilango, ambaye amekuwa mpambanaji dhidi ya ufisadi alilalamika kuwa utekelezaji wa miradi ya umeme umependelea zaidi mawaziri wakati kwenye jimbo lake wamelaghaiwa.

Alitaja baadhi ya mawaziri alidai wamependelewa ni Dk David Mathayo (Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi) wa Jimbo la Same Mashariki, Aggrey Mwanri (Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa- Tammisemi) kutoka  Jimbo la Siha na Profesa Jumanne Magembe (Kilimo, Chakula na Ushirika) ambaye  pia ni Mbunge wa Jimbo la Mwanga.

Kilango alilalamika kwamba kwenye hotuba ya Ngeleja alitaja vijiji ambavyo vimesambaziwa umeme kwenye jimbo la Same Mashariki, lakini ukweli vyote vipo Same Magharibi, kwa waziri mwenzake, Dk Mathayo.Kilango hakuvitaja vijiji hivyo, lakini kwa mujibu wa hotuba ya Ngeleja ni Mhezi, Ijinyu, Kijom, Msindo, Mbakweni, Kizungo na Digo.

Alimtaka waziri huyo kuacha kudanganya Watanzania na huku akionyesha upendeleo wa wazi kwa kupeleka miradi mingi ya umeme kwenye majimbo ya maswahiba wake.Mbunge huyo alilalama, "Sisi (wabunge) wote tuko hapa kwa kazi moja tu nayo ni (kujadili) namna ya kuondoa matatizo ya Watanzania. Lakini, mengine tunayoyafanya ni ya kitoto."

Akionyesha kukasirishwa na kuzungumza kwa jazba, Kilango alisema tatizo la umeme linawatesa sana Watanzania.

Akaitaka Serikali iachane na mpango wa kufikiria yenyewe namna ya kutatua tatizo la umeme nchini badala yake iwashirikishe na  wengine.

Katika hatua nyingine, Kilango alisema serikali haitaweza kutatua tatizo la umeme nchini iwapo itaendelea na tabia yake ya kubeba miradi mingi kwa wakati mmoja.

Alisema kitendo hicho husababisha miradi hiyo kushindikana kutekelezwa ama maendeleo yake kwenda kidogo kidogo na kutofikia malengo yake kwa wakati uliokusudiwa.Alisema tatizo la umeme nchini ni la muda mrefu, lakini utatuzi wake umekuwa ni mgumu kwa sababu katika mikakati yake, upo utitiri wa miradi.

Tatizo hilo, alisema linatokana na Serikali kutohusisha mawazo ya watu wengine katika kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa tatizo la umeme.Naye Mbunge wa Nkasi (Ally Mohamed)  katika mchango wake alimlaumu Ngeleja kwa kile alichosema ni kudanganya kwenye hotuba yake kuwa katika wilaya yake tayari mradi wa kusambaza umeme umetekelezwa kwa asilimia 62.

Mohamed alisimama baada ya Ngeleja kumaliza hotuba yake na kuomba kutoa taarifa kuwa waziri huyo alikuwa amelidanganya Bunge.

"Alisema (Waziri Ngeleja) kuwa njia ya umeme wa msongo mkubwa umekamilika na usimikaji wa nguzo umetekelezwa kwa asilimia 62. Huu ni uongo. Hakuna hata nguzo iliyochimbiwa ardhini," alilalamika Mohamed.

Alisisitiza kwamba hataunga hoja ya waziri huyo kwa sababu kuna udanganyifu mwingi na kuonya kwamba kama ni maofisa wake, basi walimpelekea taarifa potofu.

Kauli ya Ngeleja
Awali, akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake jana, Waziri Ngeleja aliorodhesha utitiri wa miradi ya umeme ambayo inalenga kumaliza tatizo la umeme nchini.

Alisema kuwa mpango wa bajeti hiyo umezingatia mikakati mbalimbali ya maendeleo ya kitaifa kama vile, Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2025, Mpango wa Maendeleo ya Taifa wa Miaka Mitano, Malengo ya Maendeleo ya Milenia na sera za CCM."Lengo la Serikali ni kuimarisha na kuboresha sekta ya nishati na kuongeza fungamanisho la sekta ya madini na sekta nyingine," alisema Ngeleja.

Alitaja miradi 16 akisema ni miongoni mwa ile itakayotekelezwa na Serikali ili kuongeza uzalishaji wa umeme, kupanua na kuboresha njia za umeme, kuendeleza na kupanua miundombinu ya gesi asilia.

Miongoni mwa miradi aliyoitaja Ngeleja ni ule wa mitambo ya kufua umeme ya megawati 100 jijini Dar es Salaam ambao alisema utakamilika Desemba mwaka huu na megawati 60 jijini Mwanza ambao utakamilika Juni mwakani.

Miradi mingine pamoja na muda wa kukamilika kwenye mabano ni Kinyerezi (Dar es Salaam) wa megawati 240 (2013/14), Mnazi Bay (Mtwara) wa megawati 300 (2013/14), Somanga Fungu (Kilwa), megawati 230 (2013/14)Ruhudji, megawati 358 (2015/16).

Mingine ni mgodi wa makaa ya mawe Kiwira (Mbeya) megawati 200 (2013/14), Ngaka wa megawati 400 (2014/15), Mchuchuma megawati 600 (2014/15), Murongo/Kikagati (Kagerea) wa megawati 16 ambao utategemea kukamilika kwa makubaliano kati ya Serikali ya Uganda na Tanzania.
Aliitaja miradi mingine kuwa ni Rusumo (Kagera) wa megawati 63 ambao upo kwenye taratibu za kutafutiwa fedha, Stiegler's Gorge (Pwani) wa megawati 2,100 na Mpanga wa megawati 165 (2015/16).

Pia, aliitaja mingine kuwa ni Rumakali wa megawati 222 (2018), Dar es Salaam-Tanga ambayo ni ya dharura ikijumuiasha Symbion (megawati 112.5), Aggreko (megawati 100), ununuzi wa mitambo itakayofungwa Majani Mapana, Tanga wa megawati 70 na  ule wa gesi wa IPTL, Tegeta jijini Dar es Salaam.

Waziri huyo aliitaja miakakati mingine ya kuboresha sekta ya nishati ni kuunganisha makao makuu zote za wilaya, kuendelea kusambaza umeme vijijini, utekelezaji wa miradi iliyopo chini ya MCC pamoja na miradi mingine midogo ya umeme ukiwepo unaotokana na nishati ya jua.

Akizungumzia kuhusu sekta ya madini, Ngeleja alisema Sheria ya Madini ya mwaka 2010 imefanyiwa marekebisho mbalimbali ili kuboresha usimamizi wa sekta hiyo."Marekebisho hayo ni pamoja na mfumo wa ukokotoaji wa mrahaba na viwango vipya na ada mbalimbali za leseni za madini," alisema Ngeleja.

Alifafanua kuwa, "Kisheria marekebisho hayo yatawagusa wawekezaji wapya na kampuni ambazo hazina miakataba na serikali."Alisema kuwa Serikali ipo katika mikakati ya kuwasiliana na kampuni ambazo tayari zina mikataba ili sheria hiyo mpya waitekeleze.Migodi hiyo aliitaja kuwa ni Bulyanhulu, Resolute Tanzania Limited, Geita Gold Mine na Buzwagi Gold Mine.Ili kutekeleza miradi hiyo, Ngeleja aliliomba Bunge liidhinishe Sh402.4 bilioni ikiwa ni pamoja na matumikzi ya kawaida.


Kiongozi Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ameliambia Bunge kuwa uhaba wa umeme unaolikumba Taifa kwa sasa unatokana na tatizo la uongozi.

"Hakuna 'seriousness' (umakini) katika kutatua tatizo la umeme," alisema Mbowe wakati akichangia hotuba hiyo ya waziri Ngeleja. Alisema tatizo la umeme limekuwa likilikumba taifa kutokana na mipango yake ya utekelezaji kufanywa kisiasa.Alionya kuwa tatizo hili limekuwa likionekana ni dogo lakini linawaathiri watu wengi hasa kampuni na viwanda vilivyowekezwa nchini na linavitishia kuviangamiza kabisa.

Hali inavyonekana kwa sasa, alisema inaashiria kuwa Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja amezidiwa kutokana na kurundikiwa mambo mengi ayafanya kwa wakati mmoja.Kwa sababu hiyo akapendekeza wizara hiyo igawanywe mara mbili kutokana na unyeti wa mambo iliyo nayo juu ya sekta ya madini na nishati.

Alitoa mfano kuwa suala la madini na nishati limekuwa na wawekezaji wajanja sana kiasi kwamba mtu anapokuwa ameelemewa na mambo mengi, anaweza kujikuta akiingia kwenye mikataba mibovu.

Hata hivyo, baada ya kumaliza, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi alitoa taarifa kuwa kamati ya Makamba ina wajibu wa kuikosoa serikali.Alisema kamati ile inajumuisha wabunge wa pande zote hivyo si ya CCM na ina wajibu wa kuikosoa na kuishauri serikali.

Mbunge wa Kibakwe George Simbachawene, aliwataka wachimbaji wodogo kufuata sheria ili kuepuka matatizo yasiiyokuwa ya lazima."Mtu ukianza kuchimba madini huwezi kufanya shughuli nyingine atachimba madini tu, serikali iwasaidie hawa wachimbaji wadogo siyo kuwasaidia wakubwa tu,"alisema Simbachawene.

Mbunge wa Kasulu Vijijini kwa tiketi ya NCCR Mageuzi  Agripina Buyogera, alisema kukosa umeme wa uhakika katika Mkoa wa Kigoma, ni matokeo ya kukosa viongozi wazuri wa kuhakikisha Mkoa huo unapata umeme wa uhakika.

Alieleza kwamba, mkoa huo unarasilimali za kutosha ambazo zinauwezo mkubwa wa kuhakikisha Mkoa huo unakuwa na Nishati kubwa ya umeme."Kila Mwezi Kigoma umeme unaozalishwa na majenereta unakatika kwa zaidi ya wiki moja, hii ni kutokana na kukosekana kwa mafatuta, kwanini isitumike maporomoko ya mito Iliyopo ili kuondoa kero hii,"alisema BuyogeraUbungo.
WABUNGE jana walimweka kitimoto Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja baadhi yao wakimtuhumu kwa kudanganya kwenye bajeti yake na kurundika miradi ya umeme jimboni kwake (Sengerema) na kwa maswahiba wake ambao pia ni mawaziri.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti Bungeni jana, wabunge hao walisema bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini mwaka 2011/12, ni mbaya na mbovu isiyofaa hata kupitishwa.

Wakichangia makadirio ya matumizi ya wizara yaliyowasilishwa Bungeni jana asubuhi na Waziri Ngeleja, wengi wao walieleza kutoridhishwa na mipango iliyomo katika hotuba ile.

Mbunge wa Same Mashariki (CCM) Anne Kilango Malecela na mwnezake wa Nkasi, Ally Mohamed pia wa CCM ndio walioanza kumwashia moto Ngeleja na kisha kufuatiwa na wabunge wengine.

Kilango, ambaye amekuwa mpambanaji dhidi ya ufisadi alilalamika kuwa utekelezaji wa miradi ya umeme umependelea zaidi mawaziri wakati kwenye jimbo lake wamelaghaiwa.

Alitaja baadhi ya mawaziri alidai wamependelewa ni Dk David Mathayo (Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi) wa Jimbo la Same Mashariki, Aggrey Mwanri (Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa- Tammisemi) kutoka Jimbo la Siha na Profesa Jumanne Magembe (Kilimo, Chakula na Ushirika) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mwanga.

Kilango alilalamika kwamba kwenye hotuba ya Ngeleja alitaja vijiji ambavyo vimesambaziwa umeme kwenye jimbo la Same Mashariki, lakini ukweli vyote vipo Same Magharibi, kwa waziri mwenzake, Dk Mathayo.Kilango hakuvitaja vijiji hivyo, lakini kwa mujibu wa hotuba ya Ngeleja ni Mhezi, Ijinyu, Kijom, Msindo, Mbakweni, Kizungo na Digo.

Alimtaka waziri huyo kuacha kudanganya Watanzania na huku akionyesha upendeleo wa wazi kwa kupeleka miradi mingi ya umeme kwenye majimbo ya maswahiba wake.Mbunge huyo alilalama, "Sisi (wabunge) wote tuko hapa kwa kazi moja tu nayo ni (kujadili) namna ya kuondoa matatizo ya Watanzania. Lakini, mengine tunayoyafanya ni ya kitoto."

Akionyesha kukasirishwa na kuzungumza kwa jazba, Kilango alisema tatizo la umeme linawatesa sana Watanzania.

Akaitaka Serikali iachane na mpango wa kufikiria yenyewe namna ya kutatua tatizo la umeme nchini badala yake iwashirikishe na wengine.

Katika hatua nyingine, Kilango alisema serikali haitaweza kutatua tatizo la umeme nchini iwapo itaendelea na tabia yake ya kubeba miradi mingi kwa wakati mmoja.

Alisema kitendo hicho husababisha miradi hiyo kushindikana kutekelezwa ama maendeleo yake kwenda kidogo kidogo na kutofikia malengo yake kwa wakati uliokusudiwa.Alisema tatizo la umeme nchini ni la muda mrefu, lakini utatuzi wake umekuwa ni mgumu kwa sababu katika mikakati yake, upo utitiri wa miradi.

Tatizo hilo, alisema linatokana na Serikali kutohusisha mawazo ya watu wengine katika kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa tatizo la umeme.Naye Mbunge wa Nkasi (Ally Mohamed) katika mchango wake alimlaumu Ngeleja kwa kile alichosema ni kudanganya kwenye hotuba yake kuwa katika wilaya yake tayari mradi wa kusambaza umeme umetekelezwa kwa asilimia 62.

Mohamed alisimama baada ya Ngeleja kumaliza hotuba yake na kuomba kutoa taarifa kuwa waziri huyo alikuwa amelidanganya Bunge.

"Alisema (Waziri Ngeleja) kuwa njia ya umeme wa msongo mkubwa umekamilika na usimikaji wa nguzo umetekelezwa kwa asilimia 62. Huu ni uongo. Hakuna hata nguzo iliyochimbiwa ardhini," alilalamika Mohamed.

Alisisitiza kwamba hataunga hoja ya waziri huyo kwa sababu kuna udanganyifu mwingi na kuonya kwamba kama ni maofisa wake, basi walimpelekea taarifa potofu.

Kauli ya Ngeleja
Awali, akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake jana, Waziri Ngeleja aliorodhesha utitiri wa miradi ya umeme ambayo inalenga kumaliza tatizo la umeme nchini.

Alisema kuwa mpango wa bajeti hiyo umezingatia mikakati mbalimbali ya maendeleo ya kitaifa kama vile, Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2025, Mpango wa Maendeleo ya Taifa wa Miaka Mitano, Malengo ya Maendeleo ya Milenia na sera za CCM."Lengo la Serikali ni kuimarisha na kuboresha sekta ya nishati na kuongeza fungamanisho la sekta ya madini na sekta nyingine," alisema Ngeleja.

Alitaja miradi 16 akisema ni miongoni mwa ile itakayotekelezwa na Serikali ili kuongeza uzalishaji wa umeme, kupanua na kuboresha njia za umeme, kuendeleza na kupanua miundombinu ya gesi asilia.

Miongoni mwa miradi aliyoitaja Ngeleja ni ule wa mitambo ya kufua umeme ya megawati 100 jijini Dar es Salaam ambao alisema utakamilika Desemba mwaka huu na megawati 60 jijini Mwanza ambao utakamilika Juni mwakani.

Miradi mingine pamoja na muda wa kukamilika kwenye mabano ni Kinyerezi (Dar es Salaam) wa megawati 240 (2013/14), Mnazi Bay (Mtwara) wa megawati 300 (2013/14), Somanga Fungu (Kilwa), megawati 230 (2013/14)Ruhudji, megawati 358 (2015/16).

Mingine ni mgodi wa makaa ya mawe Kiwira (Mbeya) megawati 200 (2013/14), Ngaka wa megawati 400 (2014/15), Mchuchuma megawati 600 (2014/15), Murongo/Kikagati (Kagerea) wa megawati 16 ambao utategemea kukamilika kwa makubaliano kati ya Serikali ya Uganda na Tanzania.
Aliitaja miradi mingine kuwa ni Rusumo (Kagera) wa megawati 63 ambao upo kwenye taratibu za kutafutiwa fedha, Stiegler's Gorge (Pwani) wa megawati 2,100 na Mpanga wa megawati 165 (2015/16).

Pia, aliitaja mingine kuwa ni Rumakali wa megawati 222 (2018), Dar es Salaam-Tanga ambayo ni ya dharura ikijumuiasha Symbion (megawati 112.5), Aggreko (megawati 100), ununuzi wa mitambo itakayofungwa Majani Mapana, Tanga wa megawati 70 na ule wa gesi wa IPTL, Tegeta jijini Dar es Salaam.

Waziri huyo aliitaja miakakati mingine ya kuboresha sekta ya nishati ni kuunganisha makao makuu zote za wilaya, kuendelea kusambaza umeme vijijini, utekelezaji wa miradi iliyopo chini ya MCC pamoja na miradi mingine midogo ya umeme ukiwepo unaotokana na nishati ya jua.

Akizungumzia kuhusu sekta ya madini, Ngeleja alisema Sheria ya Madini ya mwaka 2010 imefanyiwa marekebisho mbalimbali ili kuboresha usimamizi wa sekta hiyo."Marekebisho hayo ni pamoja na mfumo wa ukokotoaji wa mrahaba na viwango vipya na ada mbalimbali za leseni za madini," alisema Ngeleja.

Ijumaa, 15 Julai 2011

SHEREHE YA UCHUMBA YA KUSHANGAZA, MVULANA AJIRUSHA TOKA GHOROFA YA NNE.

KODI MACHINGA COMPLEX YAPUNGUZWA HADI ELFU KUMI.

Machinga Complex

BODI ya Jengo la Machinga Complex, Ilala, imepunguza kodi ya pango kwa asilimia 84 kutoka Sh 60,000 kwa mwezi hadi Sh 10,000 ili kuwawezesha wapangaji kulipa kwa wakati.

Aidha, imetoa siku 14 kwa wafanyabiashara wote waliopewa vizimba, lakini hawajaweka bidhaa zao, kuanza kufanya biashara vinginevyo watanyang’anywa hivyo na kupewa wafanyabiashara wengine.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari a Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Godwin Mmbaga, amesema, wamefanya uamuzi huo kutokana na hali ya maisha ya sasa ili kuwawezesha wafanyabiashara hao kufanya biashara zao kwa faida.

Amesema, jengo hilo linalopokea wafanyabiashara 4,200 mpaka sasa, lina changamoto ambazo zinatakiwa kufanyiwa kazi ukiwemo ukubwa wa kodi ambayo wafanyabiashara hao wadogo wanatakiwa kulipa ikilinganishwa na uwezo wao.

Amesema, kiwango hicho cha fedha kitakuwa kikirejewa kila baada ya miezi mitatu kuzingatia hali ya uchumi na mafanikio ya biashara kwa wafanyabiashara hao.

Akizungumzia wafanyabiashara ambao hawajaingia katika jengo hilo, amesema baada ya siku hizo kwisha, watapita na kuhakiki wafanyabiashara ambao hawajaingiza bidhaa zao na maeneo ambayo yatakuwa wazi, watapewa wafanyabiashara wengine.

“Tunaamini si watu wote wenye vizimba wataingia maana wapo waliochukua vizimba kwa matarajio tofauti na kuna watu hata mikataba yao hawajaichukua mpaka leo,” alisema Mwenyekiti huyo.

Amesema, kuhusu suala la walemavu, Bodi hiyo itahakikisha wanapewa eneo la chini kwanza huku wakiendelea kuboresha miundombinu mingine.

Hata hivyo, amesema ni matarajio ya Bodi kwamba eneo hilo litajiendesha kwa faida zaidi na kuzingatia maslahi ya wafanyabiashara na wapangaji wa eneo hilo
CHANZO; MWANANCHI

PIKIPIKI ILIYOACHWA NA MAJAMBAZI MTAA WA KITUMBINI LEO JIONI, WALIPORA HELA, WALIPOFUKUZWA NA ASKARI NA WANANCHI WALIACHA PIKIPIKI NA BASTOLA NA KUTOKOMEA MITAANI, UNAIFAHAMU PIKIPIKI HII?

Polisi na kidhibiti chao, unaijua hii. T 256 AYF

MANCHESTER UNITED YAGWAYA KUMSAINISHA SNEIJDER.

Manchester United put off by Inter Milan's £35 million valuation of Wesley Sneijder

Manchester United fear the financial cost is becoming a growing obstacle in their attempt to sign the Inter Milan midfielder Wesley Sneijder alhough it is understood the Dutchman could yet move to Old Trafford if the Italian club relent on their £35 million valuation.

Manchester United put off by Inter Milan's £35 million valuation of Wesley Sneijder
Sneijder.
Senior figures at United suggested that interest in the 27 year-old had ended and that Sneijder’s £190,000-a-week salary demands would break the club’s pay ceiling.
Sir Alex Ferguson, speaking in Seattle last night, hinted at the barriers which have led United to review their moves to sign Sneijder. He said: "There is no real interest in Sneijder at this moment in time for a lot of reasons. I’ve not been involved in that since I came over here."
Pointedly, however, Ferguson did not say that the deal might not eventually happen.
Ferguson also dismissed concerns over the inexperience of Manchester United’s 20-year-old summer recruit, David de Gea, by claiming the Spanish goalkeeper can emulate Chelsea’s Petr Cech in the Premier League.
De Gea, who signed for £18.3 million from Atlético Madrid, is due to link up with his new team-mates here this weekend after being signed to replace Edwin van der Sar.

ALIYEMUUA KAKA WA RAIS KARZAI ATUNDIKWA SOKONI BAADA YA KUUWAWA.

Kisasi cha Kumuua Kaka wa Rais, Maiti Yatundikwa Sokoni


Maiti ya Sardar Muhammad ikiwa imetundikwa
Friday, July 15, 2011 3:43 AMMaiti ya mzee wa Afghanistan ambaye aliuliwa baada ya kumuua kwa kumpiga risasi kaka yake rais wa Afghanistan,Hamid Karzai, ilitundikwa sokoni kama kisasi kwa mauaji aliyoyafanya.
Sardar Muhammad alikuwa mtu aliyeaminika sana kwenye familia ya rais wa Afghanistan, Hamid Karzai.

Sardar kutokana na ukaribu wake kwa kaka yake na rais Karzai, bwana Ahmad Wali Karzai, alikuwa miongoni mwa wazee wa kikabila ambao walikuwa wakikutana na Wali Karzai muda wowote ule kujadili masuala mbalimbali.

Siku ya jumanne, Sardar mwenye umri wa miaka 40, alifika kwenye nyumba ya Wali Karzai pamoja na wazee wengine na alikuwa na faili ambalo alimtaka Wali Karzai aliangalie.

Walienda chumba cha pili wakiwa peke yao ili waweze kuliangalia faili hilo lakini hazikupata dakika nyingi Sardar alichomoa bastola yake na kumpiga risasi mbili Wali Karzai.

Walinzi wa Wali Karzai waliwahi kufika kwenye chumba hicho na kumuua kwa kumpiga risasi Sardar ambaye alikuwa akijiandaa kumpiga risasi ya tatu bwana Wali Karzai.

Walinzi hao kwa hasira na kulipa kisasi cha kuuliwa kwa bosi wao, waliitundika maiti ya Sardar kwenye mojawapo ya majengo yaliyopo kwenye soko lililopo katikati ya mji wa Kandahar. Maiti hiyo iliachwa ikining'ia hapo juu ya ukuta kwa zaidi ya dakika 20 kabla ya kuondolewa.

Jana yalikuwa mazishi ya Wali Karzai ambayo yaliongozwa na rais wa Afghanistan, Hamid Karzai.

Maelfu ya watu walijitokeza kumzika Wali Karzai lakini mazishi yake yaliingia dosari wakati mtu mmoja alipojilipua ndani ya msikiti na kuwaua watu watatu akiwemo mmoja wa maimamu wakuu wa Afghanistan, watu wengine 15 walijeruhiwa.

Taarifa zaidi zilisema kwamba mwanaume huyo aliingia msikitini wakati wa sala ya kuisalia maiti akiwa amevaa kilemba ambacho ndani yake alificha bomu alilolitumia kujilipua.

Taarifa hizo ziliongeza kuwa mwanaume huyo alifanikiwa kuingia na bomu hilo msikitini kwa kujiingiza na kujifanya yupo katika msafara mmoja na maimamu kwakuwa maimamu huwa hawasachiwi.

"Huwa tunawaheshimu watu wanaovaa vilemba, hatukukisachi kilemba chake kutokana na heshima zetu kwa watu wanaovaa vilemba, ameisaliti heshima hii kwa kuficha bomu kwenye kilemba", alisema Afisa Usalama mkuu wa Kandahar, Jenerali Mohammed Naim Momin.

Naye rais wa Afghanistan, Hamid Karzai akiombeleza kifo cha kaka yake aliwataka Waafghanistan waache kuwaua ndugu zao.

"Ni rahisi kuua na kila mtu anaweza, lakini mwanaume wa kweli ni yule anayeokoa maisha ya watu", alisema rais Karzai

PICHA YA LEO;UBADHIRIFU FEDHA YA UMMA, NYUMBA YA HEADMASTER SEKONDARI NAIPANGA, NACHINGWEA YAGHARIMU MILIONI TISA LAKINI HAIJAISHA, TUTAFIKA KWELI!!!!?